Mashamba yanauzwa yapo chanika mwanzo mgumu
Kilomita Moja kutoka barabarani na barabara inafika mpaka kweny eneo...
Shamba lina minazi michungwa miti ya mbao na maji yapo..
Shamba Eka Moja...
Tunatoa huduma zifuatazo.
1. Preparation of concept note for academic researches.
2. Preparation of academic research proposals.
3. Preparation of research findings and report writing.
• Data...
Lina ukubwa Wa heka 50
Miti INA umri Wa miaka 2
Kila heka inauzwa laki 3
Lina uzwa kuanzia heka 10 na kuendelea
Linapatikana ktk mkoa Wa NJOMBE ktk tarafa ya lupembe
Kwa mawasiliano pigs...
Habari wakuu,
Nipo katika mchakato wa kuanzisha biashara yangu ya kusaga na ku-pack unga wa mahindi, sembe na dona (Na baadaye kutumia pumba zangu kutengeneza animal feeds). Ningependa kutoka kwa...
Nafanya Setup ya Blog yako kukuwekea matangazo ya Facebook ili kujiongezea kibato kupitia BLOG YAKO
Hakuna masharti mingi kama Adsense
Lugha (Kiswahili kinaruhusiwa)
Malipo (Unatumiwa Kwenye...
Nauza pikipiki boxer bm 150. Bei ni mil 1.7 maongezi yapo, iko katika hali nzuri ina miez 2 tangu kununuliwa na kufanya kazi, insurance mwaka mmoja had mwakani february. Karibu dm.
Magari Yote Hayajawahi Tembelewa Ndani Ya Ardhi Ya Tz Utapata Kwa Bei Ya kusafisha Yard Toka Bandar
Unachukua gari ikiwa Imekamilika tayari kwa kuingia Road
Wasiliana Nasi Sasa tukutumie list na...
Bidhaa ya kwanza(filamu yenye maudhui ya utalii kwa 100%) yenye lugha ya kiswahili ( siyo ya kutafsili) inatambulishwa sokoni ikiwa imerekodiwa na mzawa kutoka katika mbuga mbalimbali zilizopo...
Shkamoon wakuu.....Recently nlikua nafikiria kujikita kidogo kwenye biashara ya kufuga kuku wa nyama hapa hapa Dar.....Naamin wapo watu humu JF ambao wanafanya hii kitu na pia wapo successful in...
Hey wa jf, nani mawasiliano na kampuni za kichina zinazo uza sundar solar home system, vyombo vya usafiri kama pikipiki na mini hydro turbine! Nawasilisha[/IMG]
Salam wakuu,
Kama navojieleza kwenye heading , niko maeneo ya dar na ninahitaji atleast majogoo 4 na matetea 16 kwaajili ya kuanza ufugaji mdogo mdogo. Pia ningependa kufahamu bei na prons na cons...
Tunatoa huduma ya wound dressing kwa waliojifungua kwa oparesheni.(nyumbani kwako)
ama kidonda cha aina yoyote .
huduma inakufata ulipo
kwa sasa huduma hii inapatikana mwanza pekee.
kuhusu huduma...
Tunafanya service za mashine za kuangulishia vifaranga, pia Tunatengeneza mashine za kuangulishia vifaranga kwa bei nafuu kabisa na zenye ubora zaidi. Mashine hizi ni automatic ,manual . na za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.