Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu wajumbe, nimekuwa nikifikiria sana kuhusu kilimo na kuona kinaweza kulipa hasa ukizingatia kuwa kwa sasa kuna kilimo kwanza (naamini kuna upande mzuri wa huo mkakati). kwa sasa nimeanza...
3 Reactions
45 Replies
19K Views
Heshima zenu wadau.. Nimeibiwa simu yangu wazee, sikutunza Imei zake ili niweze kupata msaada wa kutrack. je kuna anajua ujanja mwingine ambao naweza kupata hiyo simu? msaada tafadhali!! Ni tecno...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nipo dar es salaam nahitaj viatu vya kike kwa bei ya jumla
0 Reactions
4 Replies
2K Views
House girl kutoka Njombe au Iringa anahitajika kufanya Kazi za ndani Mikumi Morogoro Kazi. Care kwa watoto 2 Usafi Kufua nguo za watoto. Mshahara 40,000/= Piga 0754004189.
0 Reactions
10 Replies
962 Views
Kwa atakaeweza kunisaidia au mwenye shamba Morogoro (NB kwa maeneo ya mkambali itakuwa vizuri zaidi) nilituma post but sijapata mtu mwenye shamba na natafuta la kununua sio kukodi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu gari tajwa hapo juu linahitajika, Namba iwe C kuja juu,AC na Radio muhimu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Kuna vyumba vya kukodi, Kinondoni B, Msisiri. Bei laki moja kwa mwezi, nyumba ndani kuna maji, umeme, na imezungushiwa na geti. Usalama upo kabisa. Ikiwa utahitaji nitumie private...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninatamani sana kumiliki S8 plus. Nina nina 1.5 million. Je naweza pata hata used one? Aliyenayo anitafte tufanye biashara. Nahitaji hii simu haraka iwezekanavyo. Pia anayetaka s6 edge kwa laki...
10 Reactions
124 Replies
18K Views
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
0 Reactions
0 Replies
537 Views
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
0 Reactions
0 Replies
807 Views
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wanabodi! Niende mbali mm sio mwanasiasa wadau nauza simu ya tecno nimeitumia takriban miez 4 haina ufa wowotr ni nzima kabisaa pia ukiiona ni kama mpya. Ina scrren procteter chaji kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Yap, Mambo vp wadau, Nahitaji maziwa mtindi meng kwa bei ya Jumla, Npo Dar es Salaam, Maziwa yawe yenye ubora wa hali ya juu, hayajachakachuliwa na salama, Kwa mwenye nayo naomba tuwasiliane...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Jipatie asali bora, asali nzuri kutoka tabora, asali mbichi haijapikwa, Dumu la lita 20 kwa bei ya shilingi 190,000/=, maongezi yapo, Asali ipo dar es salaam, wateja wa mikoani watatumiwa...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Je wewe ni mfanyabiashra na mjasilia mali ni muda wako sasa wa kuwa na website kwa ajili ya kutangazia biashara yako na kuongeza wateja . Natengeneza na kudesign website na kuhost kwa bei nafuu ya...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Music system hometheate USB FM RADIO BLUETOOTH WATTS1000 PRICE750000
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Je una simu au mobile wi-fi , wireless router ? Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu? je unataka itumie mitandao yote bila kubagua? JIPATIE UNLOCK CODE KWA BEI NAFUU KABISA POPOTE ULIPO...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
CHUO CHA UUGUZI NA UKUNGA _ISIMILA , BOX 2567 IRINGA. REG NO.HAS/131P. Kinawakaribisha/kinawatangazia waombaji wa kada ya afya ngazi ya cheti kuwa nafasi zipo za kutosha , kwa yeyote angependa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hp, Dell au Accer, RAM 4GB, HDD320GB, PROCESSOR 3.0, kama unayo nicheki, nipo K/Koo muda huu.
0 Reactions
4 Replies
679 Views
Jaman nauza sim yangu aina tajwa hapo juu. Bei ni 600,000. Ni used imetumika miez 6 but ipo katka hali nzur kabisa. Nimeshindwa kupost picha sababu ya network Internal memory 32 GB RAM 4GB Front...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom