Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba hii kwa
*** Tshs. 32.20 Millions tuuu!
*** Ndani siku 50 kwa Makubaliano
+255 657 685 268 - "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!"
Specifications:
*...
Wadau nina simu yangu aina ya SAMSUNG MEGA PLUS kubwa, Nyeusi nimeitumia miezi 6 tu tangu itoke kweny box lake,
Sasa Nimepata shida kidogo y kuhitajika kuitatua kwa haraka na hapa sina kitu...
Salaam Wana JF
Wakuu nahitaji kupata soko au mtu ambaye ananunua simbi kwa wingi sehemu yoyote ile nitampelekea.
Simbi ni miongoni mwa bidhaa za baharini ambazo hutumika kutengenezea vyombo vya...
Natafuta kazi ya udereva leseni yng ni A. B. C. C1. C2. C3. D. E. F. G nipo dar es salaam Tanzania ajira ni ngumu wakuu naitaji mtu wa kunisaidia nipate kazi Hata kumuendesha mtu fresh tu
Hi,
Kwa yoyote anaetaka bidhaa za (wholesale only)
1.Disposable cups, mifuko, plates (hizi bei zake ni tofauti kulingana na size)
2.Baby diapers
-Pcs 34,36,38;
-5 paket in 1 cartoon for...
Nauza hio laptop hapo tatzo n motherboard/mashine ilipiga shot, mpk inakufa ilitumia kwa miez nane, inauzwa kwa 250k top.nipo dodoma mjini, picha hizo hapo
Habarini wana Jf, Mimi nauza machine kwa order aina zozote za catering, food proccesing, production na Packaging.
Nafanya haya baada ya kuona Bongo machine hizi zinapatikana very very expensive...
Habar wana jf,naomba kubadilishana na mtu au nimuuzie simu aina ya samsung galaxy note 1,haina tatizo lolote
Nmeletewa lkn nmezoea simu ya lain 2.
Km kuuza bei ni 150,000
I am Tanzanian based in Dar es salaam and holding degree in economics. I am experienced in quantitave and qualitative research as well as data entry using SPSS, STATA, Epi Data & Ms. Excel. Not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.