SeliSelina
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 289
- 710
Habari wana JF,
Kuna vyumba vya kukodi, Kinondoni B, Msisiri.
Bei laki moja kwa mwezi, nyumba ndani kuna maji, umeme, na imezungushiwa na geti.
Usalama upo kabisa.
Ikiwa utahitaji nitumie private message.
Ahsanteni.
Kuna vyumba vya kukodi, Kinondoni B, Msisiri.
Bei laki moja kwa mwezi, nyumba ndani kuna maji, umeme, na imezungushiwa na geti.
Usalama upo kabisa.
Ikiwa utahitaji nitumie private message.
Ahsanteni.