Nauza simu tecno y3

Nauza simu tecno y3

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,658
Reaction score
5,139
Habar wanabodi!

Niende mbali mm sio mwanasiasa wadau nauza simu ya tecno nimeitumia takriban miez 4 haina ufa wowotr ni nzima kabisaa pia ukiiona ni kama mpya.

Ina scrren procteter chaji kama huwashi data hovyo siku 2/3 ukiwasha data siku moja.

Bei ni sh 60000 nitafute kupitia namba 0652810166 piga sina sms za kujibu.

Au nitafute whatsapp 0623961833.

Asubuh njema nipo dar es salaam
 
Chukua namba tuwasiliane picha utaziona mkuu jiamin
 
Mkuu kula 40 nami nikampe bibi kijijini Naye awe anaingia jf
 
Mkuu kula 30,000/= nimuwekee mwanangu apps za ubongo kids analia sana anahitaji ya kwake na yeye
Njoo PM tafadhali
 
Weka picha nikiridhika nayo tunakutana nakupa 60000 leo leo haina maongeza
 
Back
Top Bottom