Habarini WnaJF.
Nahitaji kufanya biashara ya mgahawa na chips Dar, lakini nahitaji mtu wa kusimamia/kushirikiana naye.
Vigezo:
Awe mwaminifu,
Aliye tayari kuchapakazi na mzoefu
Awe anajua...
Viwanja na shamba vinauzwa vipo morogoro maeneo yaliotulia miundombinu na huduma za kijamii vimezunguka ukiitaji nipigie 0629159317 au nichek whatsapp 0653825730
Jipatie kifaa ambacho kitakuwezesha kumenya mananasi kwa urahisi bila ya kupoteza tunda la ndani.
Wanunuzi jumla na rejareja mnakaribishwa.
Bei ya rejareja 50,000/- kila kimoja
Bei ya jumla 45,000/-
Mwenye kuuza mashine/vifaa vya kuchorea michoro kwenye nguzo za nyumba na madirisha tuwasiliane kabla ya saa nane mchana.
UAMINIFU UWEPO.
0769321005.
Maua kama haya...
KAZI NI KWAKO
"Hello Life" ni muunganiko wa madactari waliosajiliwa na Baraza la madactari tanazania(Medical Council of Tanganyika) wanaotoa huduma kwa wagonjwa kwa kuwafuata walipo kwa gharama nafuu...
Habari!kuna viwanja bunju B kilomita 4 toka bunju barabaran nauza milion nane ni 30 kwa 30 na kingine milion kumi ni 25 kwa 25 hiki kina msingi wa vyumba vitatu pia umeme,maji vinapatikana karibu...
Je, wewe ni mama, baba au mlezi ambaye majukumu nyumbani wamekunyima uhuru wa kuingiza kipato?
Ni kampuni ya RENT A MAID chini Tanzania inayo suruhisha tatizo hili kwa kukupatia wasichana/mama...
Nahitaji ghala lililopo popote pale ndani ya dar es salaam liwe na ukubwa usiopungua1000m2 ndani na nje usipungue 500m2
Kama unalo tafadhali nichek inbox tufanye biashara.
Waungwana, natafuta kiwanja chenye thamani kati ya milioni moja hadi moja na nusu kwenye maneo ya pembezoni mwa jiji la Dar. Kiwanja kisiwe umbali wa zaidi ya km 15 to city center.
Karibuni kwa...
*#ZUKU #ZUKU #ZUKU*
inakuja na Offer hii
Tsh 88,000/= Kununua Badala ya Tsh 95,000/=
Hii unapata Vifaa vyote ( Dish,Decoder,Lnb na Cable )
Ndani yake unapata kifurshi cha Smart Pack kwa miezi...
heshima yenu mabibi na mabwana!
Tunauza na kusambaza Gas Valve Gauge hapo juu pichani.
valve hizi ni bora imara na salama kwa matumizi ya majumbani na maofisini.
pia itakusaidia kujua matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.