Natafuta mtu wa kusimamia/kushirikiana nae kwenye biashara ya mgahawa

WINCH

Member
May 3, 2016
71
23
Habarini WnaJF.

Nahitaji kufanya biashara ya mgahawa na chips Dar, lakini nahitaji mtu wa kusimamia/kushirikiana naye.

Vigezo:

  1. Awe mwaminifu,
  2. Aliye tayari kuchapakazi na mzoefu
  3. Awe anajua maeneo ambayo biashara yetu inaweza kufanya vizuri na hatimaye tukaitanua/kuikuza zaidi.
NB:
Sijapata eneo nina imani uzoefu wake utasaidia kupata eneo zuri la kufanyia biashara.



Aliye tayari anicheck PM tuyajenge
 
Ningekuja dm tatizo mtaji hata wa kuchangia sina,,ila kwa busness idea niko vyema
 
Back
Top Bottom