House girl kutoka Njombe au Iringa anahitajika kufanya Kazi za ndani Mikumi Morogoro
Kazi.
Care kwa watoto 2
Usafi
Kufua nguo za watoto.
Mshahara 40,000/=
Piga 0754004189.
Kwa atakaeweza kunisaidia au mwenye shamba Morogoro (NB kwa maeneo ya mkambali itakuwa vizuri zaidi) nilituma post but sijapata mtu mwenye shamba na natafuta la kununua sio kukodi.
Habari wana JF,
Kuna vyumba vya kukodi, Kinondoni B, Msisiri.
Bei laki moja kwa mwezi, nyumba ndani kuna maji, umeme, na imezungushiwa na geti.
Usalama upo kabisa.
Ikiwa utahitaji nitumie private...
Ninatamani sana kumiliki S8 plus. Nina nina 1.5 million. Je naweza pata hata used one?
Aliyenayo anitafte tufanye biashara.
Nahitaji hii simu haraka iwezekanavyo.
Pia anayetaka s6 edge kwa laki...
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
Habar wanabodi!
Niende mbali mm sio mwanasiasa wadau nauza simu ya tecno nimeitumia takriban miez 4 haina ufa wowotr ni nzima kabisaa pia ukiiona ni kama mpya.
Ina scrren procteter chaji kama...
Yap,
Mambo vp wadau,
Nahitaji maziwa mtindi meng kwa bei ya Jumla,
Npo Dar es Salaam,
Maziwa yawe yenye ubora wa hali ya juu, hayajachakachuliwa na salama,
Kwa mwenye nayo naomba tuwasiliane...
Jipatie asali bora, asali nzuri kutoka tabora, asali mbichi haijapikwa,
Dumu la lita 20 kwa bei ya shilingi 190,000/=, maongezi yapo,
Asali ipo dar es salaam, wateja wa mikoani watatumiwa...
Je wewe ni mfanyabiashra na mjasilia mali ni muda wako sasa wa kuwa na website kwa ajili ya kutangazia biashara yako na kuongeza wateja .
Natengeneza na kudesign website na kuhost kwa bei nafuu ya...
Je una simu au mobile wi-fi , wireless router ?
Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu?
je unataka itumie mitandao yote bila kubagua?
JIPATIE UNLOCK CODE KWA BEI NAFUU KABISA
POPOTE ULIPO...
CHUO CHA UUGUZI NA UKUNGA _ISIMILA , BOX 2567 IRINGA. REG NO.HAS/131P.
Kinawakaribisha/kinawatangazia waombaji wa kada ya afya ngazi ya cheti kuwa nafasi zipo za kutosha , kwa yeyote angependa...
Jaman nauza sim yangu aina tajwa hapo juu. Bei ni 600,000. Ni used imetumika miez 6 but ipo katka hali nzur kabisa. Nimeshindwa kupost picha sababu ya network
Internal memory 32 GB
RAM 4GB
Front...
NDUGU ZANGU WAISLAM NAWATAKIENI KHERI YA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU MWEZI BORA ZAIDI WA RAMADHAN 2017.
NAWATAKIENI FUNGA ILIYO BORA YENYE KHERI NA BARAKA.
AMEEN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.