Waungwana nina landcruiser hard top yangu imeanguka, nilikuwa naipenda sana, Ilikuwa na livu sprring so ni old model. Kama kuna mtu ana hardtop ambayo imepark na aitumii tafadhali ni PM ili...
Container la futi 40 lipo Morogoro,lina madirisha manne,linaweza kutumika kama nyumba linauzwa Tsh.6 million.Mazungumzo yapo.
Documents zipo zote
Piga 0784299347
Shamba lililopimwa lipo bagamoyo, ukivuka daraja linalotenganisha bunju na bagamoyo upande wa kushoto uelekeo wa bagamoyo, umbali ni kilometa 7 kutoka bagamoyo road kwenda shambani yaani kutokea...
Acer laptop having the following soecifications is at market:
-Hard Disk=500 GB
CPU=2.2GHZ
RAM=2.0GB
.It's battery is good and can stay with charge for more than 4.40 hours.
Display/screen is 15.6...
Heshima kwenu wakuu
Napenda nikatumie PVC board za China badala ya Gypsum board kwenye nyumba yangu ya kuishi
Mwenye experience na hizi board naomba anishauri kipi bora ingawa mimi napenda sn...
Habari Ndugu,
tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting.....
Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
Habari Ndugu,
tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting.....
Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
Habari
Kuna hostel Magomeni Kagera, Friends corner Dar es salaam Morogoro road kituo cha mwendo kasi kagera kwa gharama ya sh 50000 kwa mwezi, tunapokea kuanzia pesa ya miezi 6 na mwaka tu.
Hostel...
Nahitaji ghala lililopo popote pale ndani ya dar es salaam liwe na ukubwa usiopungua1000m2 ndani na nje usipungue 500m2
Kama unalo tafadhali nichek inbox tufanye biashara.
KARIBU TUITION TEGETA NYUKI
TUNAFUNDISHA MASOMO YA SAYANSI
PHYSICS
MATHEMATICS
CHEMISTRY
KWA WANAFUNZI KUANZIA KIDATO CHA KWANZA MPAKA CHA SITA
PIA HOME TUITION TUNATOA KWA MAELEWANO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.