Plot4Sale PROT FOR SALE LOCATION BAHARI BEACH. SQUARE METER 7000 PRICE; USD 700,000/= Call;+255717097905

Emmanuel Akim

Member
Jun 9, 2017
71
16
057abb0df73314b334306b3817fc47e5.jpg
 
Greedy! $100 per square meter hiyo bei kakupangia nani? Wewe na wenzenu your days are numbered.
 
w ukitaka vya bei zetu pia vipo we nitafute tu boss goba goba uko bunju A bunju B viwanja vipo ni wewe tu mkuu
 
Nyie madadali mbona mnakuwa wajinga kihivyo? Hivi hiyo $700,000 unaijuwa kweli au unakisia tu? Hiko kiwanja si cha bei hiyo, hata $200,000 ni nyingi. Muwe mnajaribu kutofautisha na maisha, Tanzania si majuu.
 
Ivi mnapouza kwa dola hapa ni marekani au canada au autralia???

Hii system ya kuuza na kuuza na kununua kwa dola imeruhusiwa lini hapa nchini??
 
Hivi ndivyo viwanja Lukuvi anatakiwa avifuatilie na serikali inatakiwa iingilie kati na itoe bei elekezi katika viwanja vyote kutokana na maeneo na isimamie hilo manake naona watu wanauza viwanja bei ya bangalow california Marekani
 
Nyie madadali mbona mnakuwa wajinga kihivyo? Hivi hiyo $700,000 unaijuwa kweli au unakisia tu? Hiko kiwanja si cha bei hiyo, hata $200,000 ni nyingi. Muwe mnajaribu kutofautisha na maisha, Tanzania si majuu.
Labda anataka kuwauzi wamarekani...akina jay z...50cent...akina trump and the alike!! Maana naona kaweka dola!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom