Moo Entertainments is a Modeling Agency in Dar es salaam - Tanzania..
If you need Models and video Queen for Fashion show and advertising...
please well come to Our Office.
contacts: +255...
TANGAZO!
Kwa wale Wale walionunua hisa za Vodacom, Majina yenu yamebadilika immediately leo hii kutoka wawekezaji watarajiwa hadi wamiliki na kuingizwa rasmi kwenye kitabu cha Wamiliki wa...
Camera zilizokua maarufu Sana kabla ya digital, zpo 2 nilikua natumia na zpo vzr Sana kwa ambae anahtaj tuwasiliane tuuziane maana sizitumii tena!
Bei maelewano tu kwa anaehtaji nicheck...
Nauza Zulia 80,000. Lina ukubwa wa urefu mita4 na upana mita3 ni Yale mazulia yakupima Maua yake ni draft lina rangi ya kaki, nimelitumia mwaka1 sasa, nimeshindwa kuupload picha mnisamehee
Habari wanajamvi,natafuta mtu ambaye anaweza kubadilishana na mm simu natumia TECNO L9 PLUS ni mpya ina wiki mbili na nina kila kitu mpk risiti na mimi nahitaji kupata TECNO CX nimetokea tu...
Napangisha nyumba Dodoma Mjini (area E ) ina vyumba vinne kimoja master, jiko, sebule na public toilet ipo ndani ya fensi bei laki nne Kwa mwezi kodi yangu miezi 12 au 10.
Madalali mnakaribishwa...
Husika na somo tajwa hapo juu.
Simu ni original na haina shida yoyote zaidi ya nyufa kwenye kioo kwa pembeni ambazo hazionekani pindi utumiapo simu.
Simu ipo Dar ina ukubwa wa 32 GB na rangi ya...
Wakuu habar za muda, nauza hii laptop ni used kidogo lakini haina matatizo yoyte ni hp probook 6555b
RAM 4GB
INTERNAL STORAGE 250GB
PROCESSOR 2.3GHZ
PRICE 220,000/=
LOCATION DAR ES SALAAM
CONTACT
Wanabodi natafuta mtu wa kubadilishana nae laptop mimi natumia chromebook ila nataka mashine ya window so kwa yeyote aliye tayar anichek PM,
Mashine yangu haina tatizo lolote except spika imeanza...
Plot for SALE $ 122,000. Located at the heart of Arusha City along a very Prime and strategic Area known as Burka beside Mawala Estate . It is a corner plot of sq.m 1,077 with a title deed for...
Je una simu au mobile wi-fi , wireless router ?
Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu?
je unataka itumie mitandao yote bila kubagua?
JIPATIE UNLOCK CODE KWA BEI NAFUU KABISA
POPOTE ULIPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.