Pata kifaa cha kumenyea mananasi kwa bei nafuu:

Pata kifaa cha kumenyea mananasi kwa bei nafuu:

Mpenda Uzalendo

Senior Member
Joined
Dec 18, 2015
Posts
112
Reaction score
59
$_1 (1).JPG
Jipatie kifaa ambacho kitakuwezesha kumenya mananasi kwa urahisi bila ya kupoteza tunda la ndani.
Wanunuzi jumla na rejareja mnakaribishwa.
Bei ya rejareja 50,000/- kila kimoja
Bei ya jumla 45,000/-
 
View attachment 522094 Jipatie kifaa ambacho kitakuwezesha kumenya mananasi kwa urahisi bila ya kupoteza tunda la ndani.
Wanunuzi jumla na rejareja mnakaribishwa.
Bei ya rejareja 50,000/- kila kimoja
Bei ya jumla 45,000/-
Yani mfanya biashara mdogo atoe 50,000/= anunue hicho kifaa, wakati kisu ananoa tu kwenye jiwe na kazi inafanyika..!!
 
Da! hiyo machine hsinifai mim maskin kwa kuwa kias kikubwa cha nanas kinabak kwenye ganda na pia hiyo kitu ya katikati huwa nakula tu
 
Back
Top Bottom