Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wacha kuteseka madukan niww sasa kuwaona mabingwa wa ELECTRONICS Tanzania popote ulipo TV flat full HD warrant miaka miwili kila moja kuanzia nch18 mpaka25 DC ice USB av2 vga 0658270993/0759567807
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Feni zakutumia umeme unaweza kuweka maji ikatoa mvuke kama Ice Price275000 warrant miaka miwili popote ulipo tunakuletea Tupo kariakoo msimbazi Club ya simba No0658270993 0759567807
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari. Ninahitaji msaada kidogo nasikia kuna viwanda vinanunua tangawizi ghafi. Kwa dar kiwanda hicho kiko sehemu gani? Na vipi bei zake zikoje? Na mzgo wanahitaji uliosagwa au ambao bado...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaJforum, ninauza tangawizi, kwa mwenye kuhitaji au anayejua masoko ya ndani na nje tuwasiliane 0717903508/0759566209. Email:noeldmm@gmail.com.
0 Reactions
0 Replies
501 Views
Photocopier Mashine inauzwa..imetumika mwaka mmoja..ipo kwenye condition nzuri sana. Mahali ilipo Dar es salaam Bei 700,000. Mawasiliano 0716927054..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tecno W 4 Inauzwa 20,0000 Haina tatizo lolote Ina miezi 2 toka Inunuliwe Kama una hitaji pm Tutaongea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana poleni kwa michakato yakimaisha. Subject iko wazi kabisa natafuta fish finder kwa mwenye information anisaidie. Anisaidie aina zake, soecification zake na bei zake. Zikiwa mpya na used...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Drimhomz FUNDI/ MTAALAMU/ MUUZAJI wa Bidhaa na MDAU wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi! *** Tangaza UFUNDI - BIDHAA - VIWANJA - NYUMBA NA VYUMBA VYA KUPANGISHA NA KUUZA *** === MASWALI - USHAURI -...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Wakuu ninataka kutoa karatasi za rangi 50000 ( matangazo ya biashara yangu) So nimeanda 800000 naweza pata printer gani jiwe?
0 Reactions
3 Replies
872 Views
Acer e-machine Processor Dual Core @ 2.10 GHz Ram 4 GB Hard disk 320 GB Screen size 17.3'' Battery not working ( replace) Operating system Windows Status: used but working Price 350,000 Contact...
0 Reactions
6 Replies
838 Views
cc:2000 kilometer :78000 year 2002 inbox serious buyers
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu kuna EKARI 5 zenye miti aina ya PINES yenye miaka 4 &5 na nyingine zikiwa tupu I mean pori zinauzwa *Maeneo ni NJOMBE njia ya songea * Bei ni maelewano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
eneo lipo Tanga wilaya ya Pangani ,Mauya Linauzwa kwa ujumla na rejareja ni laki 4kwa heka 1 na ni Milion 28 kwa eneo lote Tuwasiliane +255675712533
1 Reactions
0 Replies
794 Views
Big land of one hector for sell area at tanga,pangani, kikokwe near india ocean. For more info call us +255675712533 or +255677602838 Aridhi kubwa ya hekta moja inauzwa maeneo ya tanga,pangani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu mim ni mhitimu Stashahada ya mambo ya uvuvi kutoka chuo cha uvuvi nyegezi Mwanza. Kama kuna mtu anamradi wa ufugaji Samaki au angependa kufuga Samaki anaweza kuwasiliana nami kwa...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
MSAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI/NDANI. (MDADA WA KAZI) Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* kampuni iliyopewa usajili "Reg No. 416087."...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Nwanajf nahitaji zile mashine za kunyonyolea kuku haraka sana ..kwa ajili ya biashara yangu ya kusupply nyama ya kuku. Mwenye kujua naweza pata wapi tafadhari anijuze Pm, bei na uwezo pia nikipata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shamba lililopimwa lipo bagamoyo karibu na shule ya sekondari baobab kilometa chache kutoka bunju, shamba lenyewe lipo kata ya saangani sehemu inaitwa kidimu kilometa 6 tuu kutokea barabara kuu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji hiyo TV Mpya kabisa kwenye box lake ni tshs ngapi karibuni wadau ...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom