Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ram 2gb Camera 13mp Internal memory 16 Dual Sim 4G LTE Bei:170,000 Mahali:Dar es salaam, Kigamboni Haina tatizo la software wala hardware Iko vizuri sana For more details and pictures...
0 Reactions
2 Replies
841 Views
Habari Bandugu natafuta fremu ya biashara iwe maeneo ya Kimara, ubungo, au hata Tegeta kama sehemu itakuwa imetulia. nataka nianzishe biashara ya vyakula kama mamchele, mahindi, unga, ngano...
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Habari wana JF, Napenda kuitambulisha kwenu kampuni bora ya usafi iitwayo NEXTMARY, Kampuni hii inaafanya usafi maofisini,viwandani,majumbani, Pia tunauza sabuni mbalimbali za kusafishia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, natufuta pool table budget yangu ni tsh 400,000/- kwa alienayo tuwasiliane hp 0789934593. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Anaye jua studio nzuri ya kurekodi nyimbo za gospel naomba anielekeze tafadhali nitashukuru sana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, nauza mashine ya inveter. Ni ya Watt 300 Inveter ni mashine ( kifaa ) ambayo hufanya kazi ya kubadili volt 12 za betri ya gari na kuwa volt 220. Hii yangu inatoa volt 220 za Watt 300. So...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
. Make : BMW Model : 5 Series Mileage :47000km Engine size: 2990cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2003 Doors : 4...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HP LAPTOP 635; anayeuza keyboard ya hii laptop; naihitaji haraka Nipo DSM NiPM au post hapa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anaehitaji kutotoleshewa mayai ,trey moja ni sh. Elf kumi tu.tunapatikana Dar es salaam kitunda relini.Mawasiliano 0717411442.Karibuni
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Nauza sungura wa kisasa newzealand white na dutch mmoja 30,000 nipo mbezi makabe Dar es salaam Call ... +255753534514
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wadau nipo nina vitunguu maji vipo tayar kabisa shamban natafuta masoko niweze kuvitoa msaada wakuu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Ndugu, tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting..... Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Habari Ndugu, tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting..... Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
0 Reactions
0 Replies
518 Views
Habari Ndugu, tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting..... Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Hit me up, for the best rates for Bid Bonds, Performance bonds and Advance Payment Guarantees for those that tender for government jobs or better yet if you are a Banker in the trade finance...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Salaam wanabodi .... Nahitaji simu tajwa hapo juu iliyo kwenye hali nzuri , Offer Tsh Laki tano , Kwa aliyenayo anipm . Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Habari wamama na wadada nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet. Na...
1 Reactions
116 Replies
31K Views
Habari wapendwa naitaji flat tv uwezo wangu ni sh 150000 no 0676918508
0 Reactions
5 Replies
920 Views
Kiwanja kinauzwa kipo mitaa ya Igombe Ilemela mwanza..... Kiwanja ni kikubwa kwa bei ya Tsh 5000000/= maelewano yapo. Kwa wanunuzi seeious tuwasiliane kwa 0756442366. Nawasilisha....!!
0 Reactions
2 Replies
916 Views
> Kiwanja kinauzwa bei ni 5000000/= > kipo mwanza wilaya ya ilemela kata ya bugogwa mtaa wa Igombe. Sangara kwa wingi mtaa huo. > kama upo serious tuwasiliane kwa 0756442366. Nawasilisha.....!!!
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Back
Top Bottom