Wadau ninauza gari tajwa hapo juu ya mwaka 2000.gari halina tatizo lolote na haijawah kua na tatizo lolote.
Mimi si dalali ni mali yangu.niliagiza mwaka 2013 dec.na imekua mikononi mwangu na...
KWANZA FOOD PRODUCTS ENTERPRISEs(KFEs) inakuletea KWANZA DAGAA PRODUCTS tunasambaza na kukufikia popote ulipo kukuletea Dagaa safi na walio bora kwa afya yako kutoka Ziwa Victoria - Mwanza, Dagaa...
Habari za jioni,
Tunauza asali mbichi toka Itigi, kuna ujazo wa 1kg tsh 12,500 , 500 g ni tsh 6500 na 250 g ni tsh 4,000
Kwa mawasiliano 0756 699699 / 0746 699299
Kwa Dar es salaam...
Habari Zenu waungwana.kutokana na shida za wafanyakazi wa nyumbani nimeanzisha day care kwa ajili ya watoto kuanzia mwaka mmoja na nusu mpaka 6.tupo africana mbezi beach .kwa mazungumzo zaidi...
.....
Kifungu cha 34(1)(a) cha sheria ya ardhi kinasema mkataba wwte wa kuhamisha umiliki wa ardhi (kuuza,kununua) au kuweka rehan ardhi utalindwa na sheria iwapo utakuwa ktk maandishi.
#NINI...
Haya wakina Mama pendezesha mguu wako kwa 25,000/= tu
Wakina Baba karibuni muwanunulie wakina Mama nao wapendeze.
Dsm utaletewa ulipo
Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
WhatsApp/Call/Text...
NInauza majogoo wakubwa wa kienyeji kwa ajili ya nyama.
Wana uzito kuanzia kilo 3. Bei ni 14,000. Tunapatikana kibaha kwa mfipa.
Contact: +255716666954
Invisible; Jambo Admin; Moderators; Super Members; JF members.
Nafikiri ni wakati muafaka kukawa na malipo kwenye matangazo madogo madogo i.e. £22.00 kwa tanngazo kwa mwezi kama unalipa kutoka...
Ndugu WANAJF,
Muuzaji wa Duka La Dawa Muhimu za Binadamu anahitajika haraka.
Job Location: Ifakara town
Qualifications: Awe amesomea Pre-Nursing course katika Chuo kinachotambulika na awe...
Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application.
Sasa naweka mambo wazi hapa. ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.