Wadau ninauza line ya uwakala ya Airtel Money ambayo iko fully operational. Bei ni 200,0000/=.
Kama uko interested njoo PM.Nina shida ya haraka ya pesa ndomana naiuza.
Jifunze kuongea lugha ya kichina in two weeks,ni kitabu na CD kwa bei ya 10,000tzs tu.utajifunza kuongea ndani ya mda mfupi na mwalimu atakaekuelekeza kutumia CD.Call us on 0757464131,0759003146...
Habari wadau jamani naombeni msaada natafuta chumba na sebule ,choo chake na jiko.maeneo mazuri ukanda wa old bagamoyo road au new bagamoyo road bajeti yangu laki 2 naweza kuanza kwa kodi ya...
Nauza simu hiz;-
iPhone 6s plus
16gb
mpya
kwa 970k tu,
Na samsung galaxy
note5
Used
But very clean
Gold
32gb
Unapata na charger
Kwa 600k tu
Location DSM
Ni stori inayotrend sana hapa TZ hasa hasa kwa social media, hadi inanifanya nijione TZ nimekuja kutalii na sio ninapoishi siku zote. Cha ajabu huwa najikuta kama niko mwenyewe nisiyekua na...
Kama kichwa cha habari kilivyo,
Nahitaji simu isiyozidi sh 220,000. Ni simu gani mpya (tecno, infinix, huawei au bland nyingine) naweza kuipata kwa pesa hiyo dukani?
Habari za muda huu wakuu?
Mdogo wangu wa kike ananisumbua anataka nimnunulie smart phone.
Nimemuahidi nitamnunulia, ila naomba mnishauri ni smart phone gani nzuri nzuri naweza nikamnunulia dogo...
Muhimu iwe ktk good condition na bei inayolizisha. Kwa hapa dar au dodoma itakuwa vizuri zaidi kwa sababu ya logistics, ila ata kama ni nje ya hapo si vibaya kunicheck pia.
pm me au hola hapa chini
Habari zenu wakuuu.....
Napenda kuwatangazia tunauza mashine mpya na imara za kusagia karanga.Hizi hazitumii umeme ni nguvu ya mkono wako tu.Tunauza elfu 45 za kitanzania.
TUNAPATIKANA...
Tatizo hili la kuwa na maumbile madogo limekuwa likiwakosesha raha na kuwanyima usingizi wengi, kwani huhofia hata kujiingiza kwenye mahusiano kwa kuogopa fedheha, hali inayopelekea wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.