Kampuni ya Jajojo inanunua mahindi kwa wingi.

Kampuni ya Jajojo inanunua mahindi kwa wingi.

Shukrani kaka nashukuru Kwa majibu yako lakini nilitakakuja bei mtanunua Kwa kiasi gani
mkuu bei nimaelewano kati ya jajojo na wewe binafsi. kwa hiyo ningependa tuwasiliane kwa simu au email na tafadhali tuangalie katika site yetu ya www.jajojo.com
asante.
 
Natanguliza shuklani! Gunia la ujazo wa debe 6.
Utumiage akili basi.... taja kilo.... debe ndio nini.... achana na lugha za kikabila izo... sio kila mkoa wanJua debe lina kilo ngapi.... busines ya gunia mia unaongea habari za debe.... ina maana hamuna mizani ama....


Wengine sadilin.. debe... dumla... cjui kangomba...
Humu kuna watu tofauti... we convert kivyako sema... gunia la kilo 80... na kilo moja munanunua sh ngap... over.
 
Utumiage akili basi.... taja kilo.... debe ndio nini.... achana na lugha za kikabila izo... sio kila mkoa wanJua debe lina kilo ngapi.... busines ya gunia mia unaongea habari za debe.... ina maana hamuna mizani ama....


Wengine sadilin.. debe... dumla... cjui kangomba...
Humu kuna watu tofauti... we convert kivyako sema... gunia la kilo 80... na kilo moja munanunua sh ngap... over.
Hahaha... Hyo sentesi yamwisho nmeipenda
 
Taja bei ya kilo..mfano mi nagunia zaidi ya 114 ukija na bei nzuri tunafanya biashara...kama dalali siitaji biashara asee
 
Madalali kazini, ngoja tufikishe ujumbe kwa Magu..
 
Utumiage akili basi.... taja kilo.... debe ndio nini.... achana na lugha za kikabila izo... sio kila mkoa wanJua debe lina kilo ngapi.... busines ya gunia mia unaongea habari za debe.... ina maana hamuna mizani ama....


Wengine sadilin.. debe... dumla... cjui kangomba...
Humu kuna watu tofauti... we convert kivyako sema... gunia la kilo 80... na kilo moja munanunua sh ngap... over.
mkuu naomba tuwasiliane tufanye biashara pamoja jajojo@jajojo.com
 
[QUOTno "Nichumu Nibebike, post: 22601256, member: 383818"]Mnanunua sh ngapi kwa junia?[/QUOTE]
Hivi ni junia au gunia wazeee wa kamusi tusaidieni
 
Back
Top Bottom