M Mgoda simtwange Senior Member Joined Sep 7, 2012 Posts 168 Reaction score 64 Aug 2, 2017 #1 Anayeuza Gari hasa Noah aniPM Iwe ktk hali nzuri. Masharti na vigezo kuzingatiwa
A AGOLA JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1,451 Reaction score 2,132 Aug 2, 2017 #2 Noah zinakuja za bure alfu unataka utoe pesa,vuta subira makinikia tayari. Sent using Jamii Forums mobile app
Noah zinakuja za bure alfu unataka utoe pesa,vuta subira makinikia tayari. Sent using Jamii Forums mobile app
Victoire JF-Expert Member Joined Jul 4, 2008 Posts 25,030 Reaction score 60,161 Aug 2, 2017 #3 Subiri za bure ,tukilipwa makinikia.Hizo hela invest kwenye biashara nyingine.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,765 Reaction score 126,669 Aug 2, 2017 #4 Mkuu ebu usijilipue kwanza, Noah zetu swaaafi tu zinanukia kutoka bandarini tulipoyakamata Makinikia yetu.
Mkuu ebu usijilipue kwanza, Noah zetu swaaafi tu zinanukia kutoka bandarini tulipoyakamata Makinikia yetu.