Habari gani wananchi wa awamu ya tano?
Nina Tv samsung flat Nch 32 imetumika miezi 8 tu, nataka tv chogo kwanzia Nch 21 pamoja na 350,000/= nikuachie hii flat maana nataka nifungue kibanda cha...
Habari za asubuhi wadau wa humu, nauza pkpk yangu aina ya Boxer, pkpk imenunuliwa mwaka jana mwezi wa kumi na bado ipo ktk hali nzuri coz Ingine yake haijawahi kuguswa. Bei ya kuanzi ni 1.6 Mil...
*Anouncement*
Naitwa *Hope* *L* *Paul*. Mwanafunzi wa chuo * cha Tanzania Institute of Accountancy(TIA) Dar-es-salaam campus Mobile phone *(0758572014)*.juzi nikiwa safarini kutoka Dar kwenda...
Salaam!
Kama mada tajwa inavyojieleza, ninahitaji mojawapo ya gari tajwa hapo. Bajeti yangu ni milioni 6- 7.5.
Ninatanguliza shukrani.
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
*GOOD NEWS FOR DIPLOMA HOLDER*
Do you have Diploma with GPA less than 3.0 or more than 3.0 but you can't afford to proceed with degree program? "KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) invite you to...
Kiwanja kinauzwa kinaukubwa wa 55/25 pia kina mti wpmkubwa wa kupasua mbao kinauzwa mil 6 tu na maelewano pia yapo karibu sana pia kama unaitaji shamba pia utapata nitafute kupitia no hii WhatsApp...
Wana jukwaa, wasalaam,
Kwa hiari yangu nimeamua kurudi kijijini nikawekeze kwenye kilimo na ufugaji.
Hivyo nimeamua kuuza nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar es Salaam sehemu iitwayo Madale...
Kwa wenye mahitaji ya Efd machine zenye ubora wa hali ya juu 826,000/= Vat inclusive napatikana dar es salaam inbox me kwa mawasiliano zaidi namba ya simu utaipata ukija inbox
Habarini wana JF
Kama heading inavyoeleweka,nauza dcp kwa viwanda vya kutengenezea vyakula vya wanyama hasa kwa wanaotengeneza chakula cha kuku,
Kwa wasioifahamu ni compounds ambazo zina msaidia...
Make : Volkswagen
Model : Bora (1JAPK)
Mileage : 63,319km
Engine size: 1,980cc (APK)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : 4WD
M/Year...
Habari Wakuu,
Kuna project nafanya kuhusiana na Supermarkets hapa Dar Es Salaam, Nahitaji mtu ambaye anafanya kazi Supermarkets za hapa Dar es Salaam hasa Hizi hapa,
TSN
Village Supermarkets...
nlikua kimya kwa muda kidogo baada ya kuona ile dawa ya mwanzoni ina mchanganyiko wa vitu vyenye gharama kubwa sasa nimekuja na dawa yenye mchanganyiko mwepec kuuandaa na mwepesi kuutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.