Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari gani wananchi wa awamu ya tano? Nina Tv samsung flat Nch 32 imetumika miezi 8 tu, nataka tv chogo kwanzia Nch 21 pamoja na 350,000/= nikuachie hii flat maana nataka nifungue kibanda cha...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wadau wa humu, nauza pkpk yangu aina ya Boxer, pkpk imenunuliwa mwaka jana mwezi wa kumi na bado ipo ktk hali nzuri coz Ingine yake haijawahi kuguswa. Bei ya kuanzi ni 1.6 Mil...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
karibuni kilo1700 npo Mwanza kwimba atakaehitaji anicheki namba 0654211493
0 Reactions
2 Replies
582 Views
*Anouncement* Naitwa *Hope* *L* *Paul*. Mwanafunzi wa chuo * cha Tanzania Institute of Accountancy(TIA) Dar-es-salaam campus Mobile phone *(0758572014)*.juzi nikiwa safarini kutoka Dar kwenda...
1 Reactions
2 Replies
843 Views
Salaam! Kama mada tajwa inavyojieleza, ninahitaji mojawapo ya gari tajwa hapo. Bajeti yangu ni milioni 6- 7.5. Ninatanguliza shukrani. Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
*GOOD NEWS FOR DIPLOMA HOLDER* Do you have Diploma with GPA less than 3.0 or more than 3.0 but you can't afford to proceed with degree program? "KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) invite you to...
0 Reactions
2 Replies
833 Views
Simu tajwa hapo juu nahitaji, budget yangu ni Milion 1.2 iwe full kila kitu.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kinaukubwa wa 55/25 pia kina mti wpmkubwa wa kupasua mbao kinauzwa mil 6 tu na maelewano pia yapo karibu sana pia kama unaitaji shamba pia utapata nitafute kupitia no hii WhatsApp...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jukwaa, wasalaam, Kwa hiari yangu nimeamua kurudi kijijini nikawekeze kwenye kilimo na ufugaji. Hivyo nimeamua kuuza nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar es Salaam sehemu iitwayo Madale...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Kwa wenye mahitaji ya Efd machine zenye ubora wa hali ya juu 826,000/= Vat inclusive napatikana dar es salaam inbox me kwa mawasiliano zaidi namba ya simu utaipata ukija inbox
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu Nauza Nissan Civilian gia fupi, engine 6cylinder, gari ipo ndani imepaki tu. Tsh 33milion (maongezi yapo) Call 0714 521128 Gari ipo Dar es salaam, ilala N.B Nina gari...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauliza mlioelewa hili tangazo vipi je ni vyuo hivyo tu ndo vilivyo chaguliwa au hata mtu binafsi au chuo kingine kinaweza shiriki
0 Reactions
1 Replies
587 Views
thread closed
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Habarini wana JF Kama heading inavyoeleweka,nauza dcp kwa viwanda vya kutengenezea vyakula vya wanyama hasa kwa wanaotengeneza chakula cha kuku, Kwa wasioifahamu ni compounds ambazo zina msaidia...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wana Jf inahitajika Gari moja Kati ya hizo tajwa hapo Juu budget 6 - 6.5 karibuni mwenye nayo ni PM no yako nitakupigia maramoja
1 Reactions
2 Replies
908 Views
Jiko nafuu na gharama nafuu. 0784999995. 0654768400./"]www.jamiiforums.com/mobile-gallery/cec196aa3ec0b8f2e78cce406f84427d.jpg[/IMG]
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Make : Volkswagen Model : Bora (1JAPK) Mileage : 63,319km Engine size: 1,980cc (APK) Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD M/Year...
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Habari Wakuu, Kuna project nafanya kuhusiana na Supermarkets hapa Dar Es Salaam, Nahitaji mtu ambaye anafanya kazi Supermarkets za hapa Dar es Salaam hasa Hizi hapa, TSN Village Supermarkets...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nlikua kimya kwa muda kidogo baada ya kuona ile dawa ya mwanzoni ina mchanganyiko wa vitu vyenye gharama kubwa sasa nimekuja na dawa yenye mchanganyiko mwepec kuuandaa na mwepesi kuutumia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom