Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application. Sasa naweka mambo wazi hapa. ...
0 Reactions
4 Replies
797 Views
Wadau nauza gari langu mwenyewe namba DCJ.Liko katika hali nzuri, linatembea .Nina dharura bei Million 13. Colour - Silver. km - 72000.
0 Reactions
26 Replies
10K Views
mwenye kuhitaji nyumba eneo la kibada karibu na zahanati ya kibada anipigie 0713803276, bei elekezi 40m, but negotiable. Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
UFUTA UFUTA UFUTA Ufuta tani moja shilingi 1,700,000/= Zimebaki tani 300, Dar es Salaam. Karibuni sana. 0659890000 fmlyimo@gmail.com Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Wandugu, Kama kichwa kinavyojieleza, ninahama Jiji la Dar na kuhamia mkoani. Ninauza Nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar sehemu iitwayo Madale. Ni ghorofa moja nimeijenga mpaka juu ghorofani, bado...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Tuwasiliane kama unahitaji. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyIngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa mita 15/16 vipo karibu na makaz ya mhshimiwa mpango 0656 698232 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Habari zenu wakuu. Poleni na hongereni kwa kazi. Naomba mwenye kufahamu yanapopatikana haya maziwa tunayouziwa huku DAR. Kuna mdau alinielekeza kwamba maeneo ya kisarawe na mkuranga yanapatikana...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habarini ndgu nakuja jukwaani nikitafuta chumba kwa makazi kwa watu Wa iringa mliopo mtaa Wa kihesa karibu na barabara kuu ya iringa Dodoma nahitaji chumba kwa ajili ya kuishi bei maelewano ila...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Jipatie sasa Brand New_ Full Box Samsung S6 kwa Tsh. 600,000 Ina specifications zifuatazo: Screen Size 5.10-inch Resolution 1440x2560 pixels Storage 32GB Processor 1.5GHz octa-core...
1 Reactions
0 Replies
652 Views
Wakuu habari... Naomba msaada kwa anayejua bei ya iphone 7 dukani, msaada tafadharini... post using my macbook air using jamiiforums app
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Coyesa Co. Ltd Inatoa huduma zifuatazo: [emoji117]Tunapima Viwanja(Land Surveying & GIS) [emoji117]Tunachora ramani za Nyumba, shule, vyuo, makanisa, misikiti, kumbi, Swimming Pool, n.k...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nauza, Mawasiliano 0654 011 011
0 Reactions
7 Replies
4K Views
[emoji226][emoji226][emoji226][emoji226]
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri haina michubuko Tsh 130,000
0 Reactions
1 Replies
839 Views
Natafuta kioo/display/touch ya samsung galaxy s6 SM-G920F ambae anayo please nicheki 0712632465 tufanye biashara simu yangu haitouch yani hairespond kabisa.
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Wakuu naileta hii on behalf of Rafiki yangu Anatatarijia kuhamia Arusha,sasa anataka kufanya exchange Deal kwa mwenye Nyumba au Kiwanja Arusha ili abadilishane na Nyumba hii iliyopo Zanzibar. Toa...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Anayehitaji spea kutoka kwenye hii laptop. Keyboard, screen, ram ya 2gb, touchpad kwa bei nafuu.Niinbox *PC imekufa motherboard, vingine vyote vizima*
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ninauza laini za uwakala.....iko ya tigopesa na mpesa....kila moja nauza kwa 150,000/= Interested party njoo PM tufanye biashara Niko Dar
2 Reactions
4 Replies
898 Views
Back
Top Bottom