Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application.
Sasa naweka mambo wazi hapa. ...
mwenye kuhitaji nyumba eneo la kibada karibu na zahanati ya kibada anipigie 0713803276, bei elekezi 40m, but negotiable.
Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
UFUTA UFUTA UFUTA
Ufuta tani moja shilingi 1,700,000/=
Zimebaki tani 300, Dar es Salaam.
Karibuni sana.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu,
Kama kichwa kinavyojieleza, ninahama Jiji la Dar na kuhamia mkoani.
Ninauza Nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar sehemu iitwayo Madale.
Ni ghorofa moja nimeijenga mpaka juu ghorofani, bado...
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyIngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa mita 15/16 vipo karibu na makaz ya mhshimiwa mpango
0656 698232
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu. Poleni na hongereni kwa kazi.
Naomba mwenye kufahamu yanapopatikana haya maziwa tunayouziwa huku DAR.
Kuna mdau alinielekeza kwamba maeneo ya kisarawe na mkuranga yanapatikana...
Habarini ndgu nakuja jukwaani nikitafuta chumba kwa makazi kwa watu Wa iringa mliopo mtaa Wa kihesa karibu na barabara kuu ya iringa Dodoma nahitaji chumba kwa ajili ya kuishi bei maelewano ila...
Wakuu naileta hii on behalf of Rafiki yangu
Anatatarijia kuhamia Arusha,sasa anataka kufanya exchange Deal kwa mwenye Nyumba au Kiwanja Arusha ili abadilishane na Nyumba hii iliyopo Zanzibar.
Toa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.