Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Used for 1 month only 330000 fixed Every thing fine, no scratches Full accessories Boxed 0718319771
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hot point Used miez.miwili imetumika kufua mara 4. Kg 7 inafua na kukamua na kukausha. Vyote vinaweza fanyika kwa wakat mmoja. Bei 380,000 Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app
3 Reactions
9 Replies
1K Views
habari, wakuu nauza mbao aina ya pines,zipo mafinga natafuta mteja hasa dar es salaam bei ni nzuri. zipo aina kama ifuatavyo; 1*8 2*4...
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Samsung laptop Hdd 320gb Ram 2gb Imevuja kidogo kwenye dsplay kushoto chini Used Bei 230,000 Simu samsung s6 edge display cracked but inafanya kazi hata touch ina function fresh. Bei 370,000 Ina...
0 Reactions
4 Replies
946 Views
Wadau hv naweza pata wapi hyo home theatre hata ya mtumba
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wakuu habari za kwenu, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya njiro arusha, iwe single self na kuwe na umeme pamoja na maji, bila kusahau uzio
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza laptop imara aina ya dell Ram 4gb Hard disc 500 GB Processor core i5 Betri inakaa masaa manne na chaji laptop bado iko katika condition nzuri Nauza kwa laki nne na nusu ( 450000)
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nipigie simu nitakuelekeza namna ya kushiriki. 0784686575 Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam, Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeyajua maduka mazuri yanayouza saa za kiume na za kike kwa bei ya jumla hapa DSM, anisaidie katika hilo, #0713 100 279, natanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba kuuliza kwa anaejua bei ya Gari Mitsubishi Rosa min Bus, kwa showroom za Dar... Aina Ya Gari lenyewe hilo,, adi naondoka nayo sh ngap?? Kwa anaejua anisaidie mi nipo mkoani mbali na Dar...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Nauza Gari la Mazda tribute kama spare za magari.kwa Maelezo zaidi tuwasiliane kwenye 0756 661761 whatssap 0786057 996 kwajili ya picha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NASEPA BONGO na sitarud ng'o Sasa nafanya kubwaga mali zifuatazo. PS3 cracked imenyooka sana, ipo na vifaa vyake vyote. Pad 2, ndani kuna games 6. Huna haja ya kununua CD. Fridge la samsung...
7 Reactions
169 Replies
53K Views
Msaada tutani , wadau mwenye smart tv nahitaji kununua kiasi changu kidogo ndiyo maana naomba msaada , inch 32 kwa laki 3, mawasiliano yangu ni 0744439790
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello,Kuna vyumba,Nyumba ya kupanga mtoni kijichi. Numba/vyumba vipo ndani ya fensi,maji na umeme ya uhakika yapo. Ipo yenye chumba(self) na sebule plus jiko, Kodi 150,000/= kwa mwezi. Vyengine...
5 Reactions
47 Replies
10K Views
Imetumika mwaka miezi 7tu nahaina matatizo yoyote haijaganyiwa mabadiliko yoyote ni Mali original ya Muhindi Bei ni 2milions bila kwa mawasiliano 0678721565 au 0758393837
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Nyumba bado mpywa yenye sebule, master na vyumba viwili, choo, jiko yenye ukubwa wa 40/45 wasliana nami kwa mwenye mahitaji.. Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Samahani wana Jf naulizia kama kuna mtu anafahamu hyo chemical ya food preservative naweza kuipata wap kwa Dar..asante
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Biashara. Kitanda Safi cha chuma, Ukubwa ni 5"X 6" Hakina mchubuko wala mkwaruzo Hakina kutu wala tatizo la aina yoyote ile. Bei ni 400,000 (mazungumzo yanakaribishwa) Mawasiliano: 0716403314...
0 Reactions
37 Replies
18K Views
Kama kichwa cha habari inavyosoma hapo juu,natafuta bajaji ya kununua na vilevile kama ukiweza kunikopesha niweze kulipa kidogo kidogo kwa awamu, zingine itakuwa vyema zaidi.nahitaji bajaji...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Back
Top Bottom