Bei gani mkuu?Kichwa hapo juu kinajieleza vizuri ninakodisha banda ambalo lipo tayari limetengenezwa na chumba kimoja chenye usalama ambacho unaweza tumia kuhifadhi vifaa vyako na hata kulala eneo ni Ubungo kibangu kwa ambae yupo tayari plz D.M
Nicheki mkuu.Kichwa hapo juu kinajieleza vizuri ninakodisha banda ambalo lipo tayari limetengenezwa na chumba kimoja chenye usalama ambacho unaweza tumia kuhifadhi vifaa vyako na hata kulala eneo ni Ubungo kibangu kwa ambae yupo tayari plz D.M