Ofa; Ekari tatu kwa milioni 9 Dodoma mjini

Ofa; Ekari tatu kwa milioni 9 Dodoma mjini

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
899
Eneo hili lipo mbwanga kabla ya nala dodoma mjini.lina ukubwa wa ekari tatu kasoro kidogo sana,hati yake ni ya kijiji!liko umbali usiozidi kilomita 11 toka town centre na umbali wake toka barabara kuu ya lami iendayo singida/mwanza ni kama mita 500/600

Kabla ya kufika kwenye eneo hili(mbele yake) kuna ghorofa nzuri inajengwa.water table iko karibu,hivyo ni fursa kubwa zaidi.kuna jirani ana mradi wa kufyatua na kuuza tofali kutoka na fursa iyo(kachimba kisima).maji na umeme viko karibu

Halijapimwa ila majirani wawili pande mbili tofauti wa karibu na eneo wamekwishapimiwa.bei yake milioni 9 tu

NB;mimi sio dalali ila ni mmiliki
Kwa atakayehitaji anaweza ni PM ama
0767833496
stevenmasaka@gmail.com
64e7d55fcce28ec07d10f030af59c468.jpg
44531d9c49f22ea3c8077f5bc354b774.jpg
3e7f97ea1aa782924bf4a0c03f6c6b72.jpg
118c1097b74b8a2ee8e066ddeba6d7cb.jpg


Good Neighbour
 
Mwisho wa lami tena mkuu ndani ya manispaa barabara iendayo singida/mwanza?
Mkabala na barabara ya lami,ni pazuri sana mkuu

Good Neighbour
aaah sawa nilijua maeneo ya mwisho wa lami....ni kituo cha daladala kinaitwa hivyo kipo njia ya kuelekea kondoa n jirani na chuo cha mipango na chuo cha biblia..hizo fremu zime nichanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom