Labda yale ya chuma...or better yet, nunua microwave kabisa. That way unaweza chakula kwenye vyombo visivyojaa maji mle ndani na kuanza kunuka, kikipoa unapasha kirahisi.
Reasonable tu! Ma-hotpot yanatakiwa yawe imara. Haiwezekani hot pot ndani ya miezi mi 6 limeshafumuka. Nipe. mmmh tell me sasa
Labda yale ya chuma...or better yet, nunua microwave kabisa. That way unaweza chakula kwenye vyombo visivyojaa maji mle ndani na kuanza kunuka, kikipoa unapasha kirahisi.