Hivi unafahamu kuwa kuna perfumes za kike na za kiume zenye manukato tulivu yasiyokera kutoka Sweden..
Karibu tuwasiliane ukihitaji 0672416294 au 0629273281
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu habari,
nahitaji eneo lenye ukubwa wa wastani ninaloweza kuanzisha biashara ya mgahawa kidogo kwa hapa dsm,
kama una eneo lako unaliuza unaweza kuni PM pia.
HINT:Nahitaji sehemu ambayo ina...
Wakuu,
Nauza Subwoofer aina ya Sea Piano bado mpya kabisa, ina box lake, remote control, audio cables, speaker 2 za stereo. Ina option ya ku playa kwa Bluetooth, memory card na flash disk, pia...
BamizaBlog ambayo unaweza kutumia kwa matumizi yoyote iwe habari,burudani na michezo ina zaidi ya viewer 538,338 ambayo ni nzuri kuanzia kibiashara
MaishaKiasiBlog ambayo unaweza kutumia kwa...
Kiwanja kinauzwa
Kipo Mbagala, kongowe-Mlamleni
Ukubwa 20/20
Bei sh Mil 3.(Maongez yapo)
Hakina Hati mauziano serikali ya mitaa
Ukihitaji kupaona inawezekana
Nb
Mimi sio Dalali ni kiwanja changu...
WanaJF
Yaani nahangaika kutafuta fensi nzuri ya nyumba nimetuma mafundi mbali mbali dar na mikoa mingine hamna ukuta walio nilitea nikaupenda,nikagoogle hamna kitu...
Naomba humu kama kubafundi...
Natafuta mtu anayeuza korosho ambaye anasambaza kwa maduka mengine au ambaye anauza kwa kilooo anipigie simu tuongeee tufanye biashara nataka haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Our Company '' EXPERT SERVICE investment Ltd ''
We offer Fumigation services and Pest Control service for :
1.Office &household
2.Compound
(a) farm
(b) Construction sites
3 . Warehouse...
Habari wakuu,
Natafuta piki piki used aina ya boxer ,yenye sifa zifuatazo;
1.Isiwe imetumika zaidi ya mwaka
2.Bei isizidi milioni moja
Simu:0713-039875
Habar zenu wana jf;<br />Kuna nyumba inauzwa ipo mwananyamala B" bei yake tsh 20ml ina vyumba tisa karibu(siitaji dalali) kwa maelezo nichek 0717 550291 au PM<br /><br />Sent using Jamii Forums...
Nauza kiwanja changu maeneo ya Kigamboni Malimbika. Eneo Nizuri sana kilometa 1 kutoka barabara ya lami. Ukubwa ni heka 1 Umeme wa Tanesco na bomba la maji vinapita jirani barabarani bei yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.