Ifanye nyumba yako ipendeze, sisi ni mabingwa wa kutengeneza na kurepair sofa aina zote, za chuma na za mbao, pia runatengeneza vitanda vya chuma, mbao na sofa, meza za sofa, makabati, dressing...
Habari ndugu na jamaa,kwanza niwatakie jumapili njema yenye baraka tele.
Pili; ninauza kifaa changu cha kielectronic,samsung tab S 10.5.
Condition: Clean
Price: 700k punguzo lipo.
Specs...
Habari: kwa wewe mkazi wa dar es salaamu mikoa ya jirani karibu upate huduma ya vipimo vya mwili mzima(general body check up) bei nafuu na vya kisasa kabisa pasipo kutolewa damu wala choo kwa sh...
Wakuu mambo vipi...
Ni muda mrefu sijaandika kwenye jamvi letu hili la biashara, sababu nimerudi Tanzania na nilikuwa nataka kujaribu niliyo yaandika kwa muda mrefu humu (mfano Business Ideas...
Location: Toa ngoma lugwadu,
Square metres 750, price mil 4/= & square metres 1000, mil 7/=
Km 17 from kigamboni ferry, km 8 from kongowe/toa ngoma - Mtengu (TSN Supermarket)
Info:
Email...
Selling
Playstation 3
Comes with 2wireless controlls pad (dual shock) and all cables
Also comes with a bonus of 3 new PS3 Cds:
1.Call of duty gohst
2.GTA V
3.Nfs Run
PRICE : Tsh. 410,000 /=...
karibu Wilaya ya mbozi mkoa mpya Songwe mji Mdogo Mlowo mji wa kibiashara unaokua kwa kasi upo takriban kilometer 5 kutoka makao mapya ya mkoa wa songwe mlima serewa
Kwa wanaohitaji eneo la...
NJOMBE INSTITUTE OF TOURISM AND HOTEL MANAGEMENT kinawatangazia nafasi za masomo kwa kozi zifuatazao
1. Basic hotel management
2. International Tourism
3. Tour guide
4. English communication
5...
Habari zenu ndugu zangu,ninawaletea bidhaa yangu ya mchele nauza mwenyewe, ni mchele safi na salama usio na mawaaa....
Nauza kwa kilo bei tofautitofauti ya 1800/= pia kuna wa kilo 1400/=
Nipo DSM...
Wadau naomba kujulishwa chuo bora zaidi cha kufundisha upishi kwa ngazi ya cheti/diploma, jijini Dar au hata Kibaha. Kiwango changu cha elimu ni shahada.
Brand new LG smart TV inch 65
4K Ultra High Definition(UHD)
Model 65UH603V
Ultra slim
HDR pro
Smart TV Web OS 3.0
Netflix,Stan & free view plus
Multiple ports, miracast,smart share,dual core...
Ni inch 22,
Iko vizuri kuanzia rangi hadi ubora wa picha. Ina mwaka mmoja tangu niinunue. Napatikana Dar es Salaam.
Bei ni 260,000/=
.
Nataka niongezee ninunue kubwa zaidi.
Sent using Jamii...
ina horsepower power 5
Iko indoor na outdoor yake,AC ni mpya kabisa haijawahi kutumika..
Kwa mawasiliano piga simu
Bei ya kuuza ni milion 3.7
0715591141 dsm
Ova
Salamu kwenu.
Natafuta wheel chair iwe mpya au used kwa ajili ya mgongwa mtu mzima mwanaume.
Mwenye kuwa nayo naomba anitumie PM.
Wasalaamu,
Mwenzetu
none
Habari wakuu, natafuta maduka ya spea ambayo nawezapata spea za Mazda Demio. Tafadhali weka jina la duka na mahali linapopatikana kama ni duka lako weka mawasiliano yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.