Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

-Carina -Allex au Runix ziwe kuanzia namba B na hali nzuri, Uwezo wangu ni 4.5 millions cash, mwenye nayo ani Pm tuyajenge Nipo Dar es salaam
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Karibuni pafume nzuri za kike na kiume bei poa jumla na reja reja ukihitaji utanipata 0674837286 /0757875213
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwa walioko Mbeya wapi naweza pata laptop ya MacBook aina yoyote
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nataka kujua gharama za kusafirisha Copper toka Zambia to Dar! Pia kama unajua process za Bandarini kusafirisha Copper nje.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Asali inapatikana kwa atakaye hitaji gharama yake ni sh.120,000 kwa lita 20. Kwa mawasiliano piga simu namba 0764196445/0693296644. Tabora
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inatumia umeme wa majumbani (220 V), Ni rahisi kutumia na ina umbo dogo (portable). Bei ya ofa 1,399,000 badala ya 1,600,000 . Fika dukani THE BRIDGE , Dsm tabata segerea mwisho stendi ya...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habar naomba mwenye kadi za mwendokasi za kulipia nauli alie nae tuwasiliane aniuzie no yangu 0657536080
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hilux surf Engiene model 3RZ Petrol. 16 valve 4 cylinder namba D. (DEU 383) Price:19 M Contact:0675990776 Location:Dar es salaam Haina tatizo lolote
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Bei ya ofa ni 2, 100,000 tu badala ya bei ya kawaida ya 2,250,000. Ofa itaisha tar 20.08.2017. Mashine ni ya diesel, na inapukuchua Tani 1 kwa saa. Ina matairi madogo na ni rahisi kuhamishika...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Habarini wakuu, poleni na majukumu ya hapa na pale. Kwa anayejuana na wakulima wa asali tafadhali naomba aniunganishe nao, nataka asali ya kununua kwa ajili ya biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MKIWATA ni NGO inashughulika na jinsi ya kusaidia kutatua matatizo ya vijana kama, matumizi ya madawa ya kulevya, magonjwa, ujasiriamali, ukosefu wa ajira. MKIWATA peke yake haiwezi fanikisha ili...
0 Reactions
3 Replies
781 Views
Habari zenu wakuu, msaada engine ya free lander inafutwa..urgently. Msaada naweza kupata/kuagiza wapi - kindly see attached card for more details
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa biashara, Ninataka kununua chain saw kwa ajili ya kukatia miti kwenye shamba langu jipya ili kusafisha shamba kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa kilimo. sihitaji kubwa sana...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Habari zenu wapendwa.. Jamnii naomba msaada ni wapi nawezapata vifungashio vya bidhaa mbalimbali kama maharage ..sukari chumvi kwa kilo 1hadi 5 Asanteni sana
1 Reactions
6 Replies
46K Views
Habari zenu wana jamii f.? Natumaini mu wazima wa afya njema wote, shida yangu mmi ni Kwa yeyote anaefahamu sehem wanapotengeza mifuko ya plastic au wanakouza naomba anifahamishe, ninashida nazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nina 7m Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Habari zenu wapendwa,, karibuni nafanya huduma ya kufua nguo kwa kutumia mashine na kupasi. Bei zangu ni nafuu kuanzia 1500, napatikana mabibo makuburi, ubungo Dar es salaam , maeneo yote ya Dar...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wa asili na umechmbwa katavi upo kilo 2 mwenye soko tutafutane,unachoma lizra vizur Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina Asali ya Tabora, ghafi ( Mbichi) tujuzane masoko ya UAE na Qatar au nchi zingine na mashariki ya kati. Asante sana
0 Reactions
0 Replies
770 Views
natafuta simu kwa mtu ilio tumiaka kwa shilling Elfu kumi nmba yangu ni 0743248062 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom