Wakuu kwema??,
Ninauza Kiwanja Changu kilichoko Mbutu, Kichangani,
Kiwanja kimepimwa na ukikichukua hati inatoka kwa jina lako,
Kiwanja kiko pale pale Mbutu mjini around 150m kutoka stand na...
Nahitaji kukodi gari aina ya NOAH kwa ajili ya Harusi siku ya Jumamosi tarehe 12/8/17 hapa DAR.Gari lazima iwe kwenye hali nzuri . Ratiba ni kama ifuatavyo jumamosi mchana kutupeleka kanisani ...
Habarini za muda huu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
line za uwakala zinauzwa kwa yoyote anayehitaji.
- tiGO Pesa (3)
- M Pesa (2)
- Airtel Money (2)
Bei ni 150,000 (kwa kila moja)...
Tunakuletea suluhisho la kudumu kwa Nyumba yako, Kama hukujenga njia ya lift ama umejenga njia ya kupita lift yote sasa yanawezekana, Tunazo Lift/Elevators ndogo kabisa kwa matumizi ya Nyumbani...
Habari zenu..!
Niende moja kwa moja kwenye mada.!
Natafuta watu (hasa vijana wasomi) tushirikiane kuanzisha shirika (mashirika NGOs) lisilo la kiserikali.
Kiuhalisia zipo fursa nyingi za...
Kichwa cha habari chahusika nauza dstv decorder set kwa Tsh. 70,000/- but inapungua kwa maelewano kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0625544781
Napatikana Dar es Salaam
INDEX MAIL MARKET ni system yako kwa ajili ya bulk emails.
Jisajili na ujaribu bure hapa www.mail.index.co.tz
Unaweza kutuma emails kwa biashara za zaidi ya moja na kila moja ikaenda kwa...
Habari, karibuni shower gel (sabuni ya maji yakuogea)
Napatikana dar ubungo delivery ipo
Only 15000/=
Call 0714547830
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuel: Petrol
Engine size: 2430cc
Year :2002
Transmisson- Manual
Fuel: Petrol
Imported from Japan July 2016
Imetumika hapa Tanzania kwa miezi kumi tu.
Sababu ya kuuza ni changamoto ya usimamizi...
Wasalaam wangu.
kuna ndugu yangu mkoani simiyu anahitaji kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya masuala yake ya kilimo na ufugaji.
Ningependa kujua gharama za uchimbaji wa bore holes kwa makampuni...
Mdau kwenye simu tajwa kwenye heading, brand new na original tafadhali tufanye biashara. Bajeti yangu ni 1.4mln
Kama una kanjanja tafadhali usisumbue kwani itakuwa tabu tukiichunguza na kubaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.