Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu kwema??, Ninauza Kiwanja Changu kilichoko Mbutu, Kichangani, Kiwanja kimepimwa na ukikichukua hati inatoka kwa jina lako, Kiwanja kiko pale pale Mbutu mjini around 150m kutoka stand na...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Nahitaji kukodi gari aina ya NOAH kwa ajili ya Harusi siku ya Jumamosi tarehe 12/8/17 hapa DAR.Gari lazima iwe kwenye hali nzuri . Ratiba ni kama ifuatavyo jumamosi mchana kutupeleka kanisani ...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri HP 635 - 15.6" - E-350 - Windows 8 Home Premium 64-bit - 2 GB RAM - 320 GB HDD. 0712631270 kingkibode@gmail.com
0 Reactions
8 Replies
920 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini za muda huu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, line za uwakala zinauzwa kwa yoyote anayehitaji. - tiGO Pesa (3) - M Pesa (2) - Airtel Money (2) Bei ni 150,000 (kwa kila moja)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana bodi Kama tangazo nilivyoliweka nahitaji kuanza biashara hii Msaada wenu kwa anayemjua muuzaji na gharama kiujumla msaada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunakuletea suluhisho la kudumu kwa Nyumba yako, Kama hukujenga njia ya lift ama umejenga njia ya kupita lift yote sasa yanawezekana, Tunazo Lift/Elevators ndogo kabisa kwa matumizi ya Nyumbani...
7 Reactions
162 Replies
19K Views
Kwa chuo kinachohitaji Mwl wa Bomba, tuwasiliane PM
0 Reactions
1 Replies
4K Views
V
0 Reactions
6 Replies
4K Views
kwa bei poa kwa anae itaji ni check 0629955576
0 Reactions
5 Replies
947 Views
Habari zenu..! Niende moja kwa moja kwenye mada.! Natafuta watu (hasa vijana wasomi) tushirikiane kuanzisha shirika (mashirika NGOs) lisilo la kiserikali. Kiuhalisia zipo fursa nyingi za...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika nauza dstv decorder set kwa Tsh. 70,000/- but inapungua kwa maelewano kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0625544781 Napatikana Dar es Salaam
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwenye kiwanja na mahali kilipo anipe infos ,usisahau kuweka na ukubwa wa kiwanja na bei yake na sifa yingine
2 Reactions
22 Replies
3K Views
INDEX MAIL MARKET ni system yako kwa ajili ya bulk emails. Jisajili na ujaribu bure hapa www.mail.index.co.tz Unaweza kutuma emails kwa biashara za zaidi ya moja na kila moja ikaenda kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, karibuni shower gel (sabuni ya maji yakuogea) Napatikana dar ubungo delivery ipo Only 15000/= Call 0714547830 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Fuel: Petrol Engine size: 2430cc Year :2002 Transmisson- Manual Fuel: Petrol Imported from Japan July 2016 Imetumika hapa Tanzania kwa miezi kumi tu. Sababu ya kuuza ni changamoto ya usimamizi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wasalaam wangu. kuna ndugu yangu mkoani simiyu anahitaji kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya masuala yake ya kilimo na ufugaji. Ningependa kujua gharama za uchimbaji wa bore holes kwa makampuni...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mdau kwenye simu tajwa kwenye heading, brand new na original tafadhali tufanye biashara. Bajeti yangu ni 1.4mln Kama una kanjanja tafadhali usisumbue kwani itakuwa tabu tukiichunguza na kubaini...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nauza baby Walker, baby rocker na baby night sleeper na bedding za mwanangu.kwa mawasiliano piga 0756661761
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu habar zenu naomba kujua bei ya mashine zinazotoa risit za biashara..ni zile mashine zinazotolewa na TRA. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom