Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina rafiki yangu ana hitaji 2mil , interest yoyote unayoitaka. Ana uwezo wa kurejesha lak 3 kila mwezi mpaka mwisho wa deni. Dhamana atakukabidhi vyeti vyake original na yuko tayari...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Wakuu kampuni ya Jajojo inanunua mahindi kuanzia gunia mia na kuendelea. wasiliana nasi kama wewe ni muuzaji wa mahindi. Tupo jijini Mbeya. 0715 966693 jajojo@jajojo.com www.jajojo.com Asanteni.
1 Reactions
43 Replies
5K Views
AKROS LIMITED Calls for applications to any individual with medium level knowledge and experience in Website Designing and development. Kindly send your Application letter and Resume to...
0 Reactions
3 Replies
753 Views
Natafuta room maneno ya makumbusho,kinondoni au mwenge iwe na maji na iwe ndan ya geti.gharama isizid 150000
0 Reactions
6 Replies
949 Views
Nataka kioo cha laptop dell latitude e5400, nipo dodoma. 0739-943684
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Kama kichwa kinavyojieleza Karibuni. IQ standard
0 Reactions
1 Replies
547 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu! Nahitaji Laptop iwe na hard disc kubwa kuanzia 320Gb Ila processor na ram iwe yoyote.sijangui kwa upande wa pro na ram. N:B Iwe kdg Toleo...
0 Reactions
6 Replies
836 Views
Nianuza mbwa jamii YA pet... Kuna wawili majike wana miezi 7 na wengine wadogo wa miezi 2 vijike vipo 2 na vidume 3 karibuni tabata.... Bei ni maelewano wameshapatiwa chanjo YA pavo, Vitamini na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani habari za mida hii wanajamvi, Nauliza ni wapi wanakouza TV Showcases nzuri na kwa bei nafuu. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
937 Views
CC 1990, AB ABS AW FOG NV, 4WD Total cost Tsh 11Mil pamoja na ushuru Agiza nami kwa: call/whatsapp: +255715471659 e:hamoudautocom@gmail.com ...Wakati wote ni wakati wa kazi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya jioni wadau kuna Kiwanja kipo barabara ya kwenda goba mita 300 kitoka lami kipo vizuri sana umeme na maji yapo bei mil 25 ameanzia njoo uwone Kiwanja ukubwa ni 25 Kwa 30 karibuni #...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Anayeuza Gari hasa Noah aniPM Iwe ktk hali nzuri. Masharti na vigezo kuzingatiwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salamu salama... Humu ndani Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Pata vifaranga bora kabisa aina ya Chotara vya kuanzia wiki 1 na kuendelea kwa ajili ya utagaji bora wa mayai ya kienyeji. Pia tunapokea oda za mayai kwa ajili ya kutotolesha, mashine zetu zina...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Habari wadau. Nina tangawizi mbichi tani 70 zipo tayari kwake kuuzwa. Mwenye soko la uhakika tuwasiliane kwa # 0655707780.Ahsanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Color Black, CC 1990, AW FOG HID SEAT-HEATER NV TV Total Cost Tsh11.7Mil pamoja na ushuru Wasiliana kwa: call/whatsapp: +255715471659
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Wenye kuhitaji unga WA muhogo tafadhali tuwasiliane 0764601903
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ubia wa kibiashara (Women Saloon) Anatafutwa mtu yeyote ambaye yupo tayari kuingia ubia wa kibiashara Katika biashara ya Saloon ipo njia panda ya chuo Sifa zinazohitajika. 1. Awe mwenye uwezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama Tangazo linavyosomeka hapo, nauza laptop yangu 450,000/= yenye specifications zifuatazo :- Processor Core-i3 RAM 4GB HARD DISK 250 GB, laptop ni nzima kabisa haina tatizo lolote unaruhusiwa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
[emoji574] [emoji574] AUGUST SALE: 12 chicken egg automatic, CONTACT ONLINE CUSTOMER SERVICE: whatsapp/ sms 0682662558 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
741 Views
Back
Top Bottom