Nina rafiki yangu ana hitaji 2mil , interest yoyote unayoitaka. Ana uwezo wa kurejesha lak 3 kila mwezi mpaka mwisho wa deni. Dhamana atakukabidhi vyeti vyake original na yuko tayari...
Wakuu kampuni ya Jajojo inanunua mahindi kuanzia gunia mia na kuendelea. wasiliana
nasi kama wewe ni muuzaji wa mahindi.
Tupo jijini Mbeya.
0715 966693
jajojo@jajojo.com
www.jajojo.com
Asanteni.
AKROS LIMITED Calls for applications to any individual with medium level knowledge and experience in Website Designing and development. Kindly send your Application letter and Resume to...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu!
Nahitaji Laptop iwe na hard disc kubwa kuanzia 320Gb Ila processor na ram iwe yoyote.sijangui kwa upande wa pro na ram.
N:B
Iwe kdg Toleo...
Nianuza mbwa jamii YA pet... Kuna wawili majike wana miezi 7 na wengine wadogo wa miezi 2 vijike vipo 2 na vidume 3 karibuni tabata.... Bei ni maelewano wameshapatiwa chanjo YA pavo, Vitamini na...
CC 1990, AB ABS AW FOG NV, 4WD
Total cost Tsh 11Mil pamoja na ushuru
Agiza nami kwa:
call/whatsapp: +255715471659
e:hamoudautocom@gmail.com
...Wakati wote ni wakati wa kazi...
Habari ya jioni wadau kuna Kiwanja kipo barabara ya kwenda goba mita 300 kitoka lami kipo vizuri sana umeme na maji yapo bei mil 25 ameanzia njoo uwone Kiwanja ukubwa ni 25 Kwa 30 karibuni #...
Salamu salama... Humu ndani
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na...
Pata vifaranga bora kabisa aina ya Chotara vya kuanzia wiki 1 na kuendelea kwa ajili ya utagaji bora wa mayai ya kienyeji.
Pia tunapokea oda za mayai kwa ajili ya kutotolesha, mashine zetu zina...
Ubia wa kibiashara (Women Saloon)
Anatafutwa mtu yeyote ambaye yupo tayari kuingia ubia wa kibiashara Katika biashara ya Saloon ipo njia panda ya chuo
Sifa zinazohitajika.
1. Awe mwenye uwezo...
Kama Tangazo linavyosomeka hapo, nauza laptop yangu 450,000/= yenye specifications zifuatazo :-
Processor Core-i3
RAM 4GB
HARD DISK 250 GB,
laptop ni nzima kabisa haina tatizo lolote unaruhusiwa...
[emoji574] [emoji574] AUGUST SALE:
12 chicken egg
automatic,
CONTACT ONLINE CUSTOMER SERVICE: whatsapp/ sms 0682662558
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.