Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninaaina ya tourmaline ambayo kwa nje nyeusi uki piga tochi ni green and yellow mwenye oda tuwasiane kupitia pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Color Beige, CC 1490, AB ABS NV P-DOOR, 42,000km Total cost Tsh 9.8Mil pamoja na ushuru Agiza nami kwa: call/whatsapp: +255715471659 e:hamoudautocom@gmail.com ...Wakati wote ni wakati wa kazi...
1 Reactions
2 Replies
913 Views
Ndugu zanguni naomba msaada, kuna dawa nimekuwa nikiitafuta madukani bila mafanikio, kipindi cha zamani ilikuwa inaitwa 'Salimia' kwa yeyote anayejua zinapopatikana anijulishe tafadhari, au dawa...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Natafuta kiwanja mapinga mbele ya bunju kama unaenda bagamoyo Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
1 Reactions
2 Replies
715 Views
wakuu nina mahindi kwenye gari tani 32 yapo dar bei ni 590 kwa kilo. contact Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
18 Replies
3K Views
FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL... Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu.. Nipo dar es salaam nahitaji kununua kuku wa kienyeji au wa kisasa na pia nahitaji mayai yake kwa anaye uza naomba ani pm....
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Habari wana JF, Nina kuku wakienyeji kama 150 ni mchanganyiko yaani majogoo na Tetea ni wakubwa na wazuri kwa kufuga pia wazuri kwa nyama, kuku hao wapo mkoani Mbeya lakini nitawasafirisha Dar...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiboko ya chunusi, harara,mapunye,muwasho,makovu na kila aina ya ugonjwa Wa Ngozi Only 7000 tu....nakuletea ulipo na mikoani natuma 0714547830 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mileage 00 bei yake ni milioni 40,000,000 tsh
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Habari wadau.. Nauza Fuso fighter tandem ipo kwenye Hali nzuri. Engine 6D16 Ina Turbo Aliye interested Anitafute kwenye namba hii 0719065116 Bei 50M TSh. Pungufu tunaongea.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Ninahitaji stidio monitors zenye ubora na bei nafuu.Mwenye nazo anicheki tufanye biashara lakini zisiwe Alesis.
0 Reactions
1 Replies
691 Views
za kwenu??? msaada please,hizi fishnet ankle socks kwa anaejua zinauzwa wapi kwa Dar??? au maduka ambayo naweza pata.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Heshima mbele wana JF. Natafuta chumba self na sebule pia Jiko. Maeneo:Mwenge,Kijitonyama,Makumbusho na hata Mikocheni. Offer:Minimum Tshs.200,000/= Kama ipo ni-PM,nitakupigia . Asante.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Incubators (Mashine za kisasa za kutotolesha vifaranga) zinapatikana. Zinatumia umeme, Solar, Betri za gari na Generator. Zinadumu na zina warranty. Ni rahisi kutumia na zina asilimia kubwa ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
OFAA OFAAA OFAAAAA Kama wewe ni masanii wa muuziki wa aina yoyote na umeshatengeneza audio yako unataka ku shoot video nzuri na yenye kiwango cha juu kulingana na soko la Africa Mashariki kwa...
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Ni simu aina ya Sony Experia inauzwa kwa bei ya shilingi 200,000/= simu iko katika hali nzuri kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii hapa 0713620684.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau natafuta wanunuzi wa Pilipili Mbuzi ziko SHAMBANI tayari kuvunwa idea na soko kiko inipe.
0 Reactions
30 Replies
11K Views
Husika na kichwa hapo juu, Nauza Tecno C8 bei 190000/=Tshs maongezi yanaruhusiwa nipo Tanga Majengo msikitini hapa kwa mawasiliano zaidi nichek 0625697394 thA God thA bubbs!!
0 Reactions
4 Replies
828 Views
Habari wana JF, Mimi nimeanzisha bakery yangu, kwa sasa nina oven ndogo tu,kuna mtu anaweza kunifahamisha wapi naweza pata oven ya kuokea mikate ambayo itakuwa na uwezo wa kuoka hata mikate 100...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Back
Top Bottom