Habari zenu?
Nina maharage menkundu takribani gunia 30,nayauza kwa bei ya 142,000/= kwa gunia lenye kilo 100.
Mwenye kuhitaji awasiliane nani 0752489529
Maharage yapo Arusha mjini.
Majiko haya ni zao la ubunifu wa hapa hapa inchini kwetu Tanzania, majiko haya yaweza kutumika kwa matumizi madogo madogo ya nyumbani kama kupikia chai,kuchemshia vyakula,n.k
Majiko hya ni rafiki...
MANK-GIS Natural resources integrated solutions ni kikundi cha Vijana wahitimu wa elimu ya juu.
Kwa kifupi ni kwamba ni kikundi cha Wataalam wa kada mbali mbali ikiwemo kada ya Maji na...
Emirati Women come together at Etihad Aviation Group’s Head Quarter in Abu Dhabi to celebrate Emirati Women’s Day by hosting a special event at the EAG in Abu Dhabi
Women account for 51 per...
Shamba ekari tatu zinauzwa kila moja 65ml. (Mazungumzo yapo)
Shamba liko Moshi mailsita weruweru kaskazini kutokea barabara ya Arusha moshi.
Pia liko mita 400 kutoka main rd ya Moshi to Arusha...
Habari wana jamvi..
Nauza unga bora WA lishe wenye virutubisho vinavyomsaidia mtumiaji kuongeza uwezo wa kumbukumbu, kuimarisha mifupa, kuongeza nguvu ya mwili, kupunguza mafuta yasiyotakiwa...
Haya tena kama una tatizo la nguvu za kiume na heshima inakaribia kuisha huko nyumbani hebu tuwasiliane. Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume ile yenyewe kabisa. Ni dawa ya mitishamba katika...
Dawa hii ni ya asili kutokana mkoani Tanga. Haijachanganywa na kemikali yoyote ipo katika mfumo wa unga unga.
Matumizi: utaweka kijiko kimoja cha chakula kwenye supu au kinywaji chochote. pia...
Nauza line ya biashara ya mpesa bei ni tsh 160,000/= ni mpya kabisa, haina tatizo lolote, inatumika pia ktk mawasiliano yakawaida, for serious buyer 0658496927 nipo Dar.
Sent using Jamii Forums...
Kwa wanao hitaji shamba maeneo ya morogoro bado lipo na lipo karibu na chanzo cha maji cha mto Ngerengere napatikana kwa namba(0744990530 au 0676051093)
Sent using Jamii Forums mobile app
NYUMBA NYUMBA NYUMBA
Inauzwa ipo Saku Mbagala, ina Sitting room, dining, jiko, stoo, public toilet na room tatu plus Master Room ina maji na umeme
Pia ina Parking ya kutosha iko karibu na...
Shamba ekari moja jirani na barabara maeneo ya Kibaha, Kiluvya au Baobab kwa bajeti ya 5m lisilo na mgogoro linahitajika.
Vinginevyo kiwanja kikubwa kiasi mitaa hiyo kwa bajeti similar...
Habari ya kazi ndugu zangu, kama kichwa kinavyojieleza nauza kuku aina ya chotara ni wakubwa kama ambavyo wanavyoonekana kwenye picha. Bei ni 18000 ukichukua wengi inapungua, tupo kinyerezi, dsm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.