Selling
Playstation 3
Comes with 2wireless controlls pad (dual shock) and all cables
Also comes with a bonus of 3 new PS3 Cds:
1.Call of duty gohst
2.GTA V
3.Nfs Run
PRICE : Tsh. 410,000 /=...
karibu Wilaya ya mbozi mkoa mpya Songwe mji Mdogo Mlowo mji wa kibiashara unaokua kwa kasi upo takriban kilometer 5 kutoka makao mapya ya mkoa wa songwe mlima serewa
Kwa wanaohitaji eneo la...
NJOMBE INSTITUTE OF TOURISM AND HOTEL MANAGEMENT kinawatangazia nafasi za masomo kwa kozi zifuatazao
1. Basic hotel management
2. International Tourism
3. Tour guide
4. English communication
5...
Habari zenu ndugu zangu,ninawaletea bidhaa yangu ya mchele nauza mwenyewe, ni mchele safi na salama usio na mawaaa....
Nauza kwa kilo bei tofautitofauti ya 1800/= pia kuna wa kilo 1400/=
Nipo DSM...
Wadau naomba kujulishwa chuo bora zaidi cha kufundisha upishi kwa ngazi ya cheti/diploma, jijini Dar au hata Kibaha. Kiwango changu cha elimu ni shahada.
Brand new LG smart TV inch 65
4K Ultra High Definition(UHD)
Model 65UH603V
Ultra slim
HDR pro
Smart TV Web OS 3.0
Netflix,Stan & free view plus
Multiple ports, miracast,smart share,dual core...
Ni inch 22,
Iko vizuri kuanzia rangi hadi ubora wa picha. Ina mwaka mmoja tangu niinunue. Napatikana Dar es Salaam.
Bei ni 260,000/=
.
Nataka niongezee ninunue kubwa zaidi.
Sent using Jamii...
ina horsepower power 5
Iko indoor na outdoor yake,AC ni mpya kabisa haijawahi kutumika..
Kwa mawasiliano piga simu
Bei ya kuuza ni milion 3.7
0715591141 dsm
Ova
Salamu kwenu.
Natafuta wheel chair iwe mpya au used kwa ajili ya mgongwa mtu mzima mwanaume.
Mwenye kuwa nayo naomba anitumie PM.
Wasalaamu,
Mwenzetu
none
Habari wakuu, natafuta maduka ya spea ambayo nawezapata spea za Mazda Demio. Tafadhali weka jina la duka na mahali linapopatikana kama ni duka lako weka mawasiliano yako.
fremu ni kuajil ya kuweka biashara ya chakula? maeneo ya kinondoni,na ilala ikiwezekana iwena frem nyngine pemben kuajil ya duka km unayo nichek
pm tufanye biashara. bei iwe chin ya lak moja...
Salaam Ndg,Jamaa,na Marafiki,Natangaza biashara ya matikiti maji yapo tayari shamba lipo !mwasonga,Wilaya ya kigamboni,hakuna tabu ya usafiri gari linaingia mpaka shamba ni karibu na barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.