kuna kama km 1 kutoka kibaoni,Pia panafaa kwa bishara kariabu.Kuna umbali gani kutoka kwenye mradi Wa NHC natafuta eneo la kufanyia biashara.
Nikweli hali ngumu ila unaweza kuchanga na mshikaji wako au ndugu mkanunua na kugawana heka ni kubwa sana,Nimeweka bei ya kuuza.Your price is fair. Ningekuwa na pesa ningekinunua...
Nikweli kuna utapeli kwenye viwanja unatakiwa kabala ya kununua umuone mjumbe na mwenyeki wa serekali za mitaa wanajua wamiliki wote wa viwanja kwenye maeneo yao.Kiwanja ni changu mwenyewe.Ni ya kwako binafsi mkuu? manake huko kigamboni kuna jamaangu karibu alizwe.
Kaka kiwanja ni changu mimi sio dalalali naomba unielewe swala la bei inategemea na eneo lipo sehemu gani, heka moja kuna viwanja zaidi ya sita vya kupima 70x70 ni eneo kubwa ndugu acha maneno ya akiba hii nibiashara sio ugonvi.Uyu dalali tu....sasa ata kuwamini inakua ngumu, mna tamaa sana,.. Kiwanja cha 15mil unauza ishirini ili upate, ..cha juu, izi hela za mashetani zitawamaliza
Kiko barabarani.Umbali gani kutoka barabara ya vumbi?
Kiko barabaranKiko barabarani?
Your price is fair. Ningekuwa na pesa ningekinunua...
Mchoro upo nina soft copy na hard copy matumizi ni makazi naomba email yako nikutumie .Nataka kujua kama kuna mchoro kama upon ni kwamatumizi gani?
Nitumie documents zote kwenye email hii mhifadhi@yahoo nitakupigia mkuu.Mchoro upo nina soft copy na hard copy matumizi ni makazi
naomba email yako nikutumie .
MmhUyu dalali tu....sasa ata kuwamini inakua ngumu, mna tamaa sana,.. Kiwanja cha 15mil unauza ishirini ili upate, ..cha juu, izi hela za mashetani zitawamaliza