Toyota Alphard 2003
Color Pear, CC 2360, AB ABS AW RS FOG HID NV B-MONITOR
Total cost Tsh 14Mil Pamoja na ushuru
wasiliana kwa:
call/whatsapp: +255715471659
Kichwa cha thread hapo juu chahusika.
UHITAJI: Shamba lenye ukubwa kuanzia ekari 5.
SIFA: Liwe karibu na chanzo cha maji.
Liwe ndani ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Morogoro vijijini au...
Tunatengeneza mashine za kuzalishia vifaranga kwa bei nafuu kabisa. Mashine zetu ni nzuri na zenye uwezo zaid na hatching capacity yake ni asilimia 97. Mashine zetu zipo popote pale kwa maana...
Kichwa cha thread hapo juu chahusika.
UHITAJI: Shamba lenye ukubwa kuanzia ekari 5.
SIFA: Liwe karibu na chanzo cha maji.
Liwe ndani ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Morogoro vijijini...
Jamani natafuta mwenye utaalam au mtaalam wa maswala ya mapishi ya vitu adimu adimu kama vile cake za aina tofauti, na bites bites za aina tofauti, n.k, tufanye kazi kisasa zaidi.
Unaweza kuweka...
Viwanja viwili vilivyoshikana vya mita 20 kwa 20 (yaani ni kiwanja kimoja cha 20 kwa 40) vinauzwa.
Viko sehemu nzuri sana Olasiti Arusha. Ni kama mita 700 tu kutoka barabara kuu inayotoka...
natafuta wateja wanaotaka unga wa samaki(panki) kwa wateja wa Dar
unga huu hutumika kama chakula cha
.kuku na nguruwe
mawasiliano Ni 0762655938
au 0718969767
Nina shida na decoder ya canal + mtu pekee ninayejua anaweza kunisaidia ni lukiko wa kirumba. Jamani kama una mawasiliano naye npm namba yake. Ni mtu muhimu kwangu Kwani nlikuwa naye kwenye group...
Habari zenu wakuu.
Nilifanya research juu ya Alizeti kwenye maeneo yafuatayo:
1.Upatikanaje wake
2.ukamuaje wa mafuta yake na gharama za kiwanda
3.Soko lake na mbadala wake
4. Namna ya kuwakabaili...
Simu za mezani za matumizi ya hotelini,nyumbani,kwenye gari,ofisini zinauzwa kwa bei poa kabisa na zinasifa zifuatazo:-
~Zinatumia line za mtandao wowote ule,
~Zina fm radio,
~Zinabetry ya...
heshima kwenu brothers and sisters..
chumba kimoja kinapangishwa near mabibo hostel - bei ni elfu 60 kwa mwezi ( choo ni cha nje )
1.kuna umeme na maji ( ya dawasco)
3. Ipo ndani ya fence
4...
Eneo liko M 200 kutoka barabara ya lami, Goba uwanjani, mbele kidogo ya Goba mjini ni tambarare kabisa (hakuna mlima au bonde).
Bei M 13
Mazungumzo 0715812160 au 0764452424
Nahitaji korosho zilizobanguliwa nahitaji kupack tu nakumfikishia mlaji. Wapi nitapata kwa kuanzia kilo 3 na ni kiasi gani kwa kilo moja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.