Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hilux surf Engiene model 3RZ Petrol. 16 valve 4 cylinder namba D. (DEU 383) Price:19 M Contact:0675990776 Location:Dar es salaam Haina tatizo lolote
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Bei ya ofa ni 2, 100,000 tu badala ya bei ya kawaida ya 2,250,000. Ofa itaisha tar 20.08.2017. Mashine ni ya diesel, na inapukuchua Tani 1 kwa saa. Ina matairi madogo na ni rahisi kuhamishika...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Habarini wakuu, poleni na majukumu ya hapa na pale. Kwa anayejuana na wakulima wa asali tafadhali naomba aniunganishe nao, nataka asali ya kununua kwa ajili ya biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MKIWATA ni NGO inashughulika na jinsi ya kusaidia kutatua matatizo ya vijana kama, matumizi ya madawa ya kulevya, magonjwa, ujasiriamali, ukosefu wa ajira. MKIWATA peke yake haiwezi fanikisha ili...
0 Reactions
3 Replies
781 Views
Habari zenu wakuu, msaada engine ya free lander inafutwa..urgently. Msaada naweza kupata/kuagiza wapi - kindly see attached card for more details
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa biashara, Ninataka kununua chain saw kwa ajili ya kukatia miti kwenye shamba langu jipya ili kusafisha shamba kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa kilimo. sihitaji kubwa sana...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Habari zenu wapendwa.. Jamnii naomba msaada ni wapi nawezapata vifungashio vya bidhaa mbalimbali kama maharage ..sukari chumvi kwa kilo 1hadi 5 Asanteni sana
1 Reactions
6 Replies
46K Views
Habari zenu wana jamii f.? Natumaini mu wazima wa afya njema wote, shida yangu mmi ni Kwa yeyote anaefahamu sehem wanapotengeza mifuko ya plastic au wanakouza naomba anifahamishe, ninashida nazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nina 7m Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Habari zenu wapendwa,, karibuni nafanya huduma ya kufua nguo kwa kutumia mashine na kupasi. Bei zangu ni nafuu kuanzia 1500, napatikana mabibo makuburi, ubungo Dar es salaam , maeneo yote ya Dar...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wa asili na umechmbwa katavi upo kilo 2 mwenye soko tutafutane,unachoma lizra vizur Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina Asali ya Tabora, ghafi ( Mbichi) tujuzane masoko ya UAE na Qatar au nchi zingine na mashariki ya kati. Asante sana
0 Reactions
0 Replies
770 Views
natafuta simu kwa mtu ilio tumiaka kwa shilling Elfu kumi nmba yangu ni 0743248062 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau wa JF. Mayai bora ya kisasa yenye kiini cha njano yanapatikana Geza ulole wilaya ya kigamboni Dar-es-salaam. Tunapokea oda ndogo na kubwa kutoka kwa watu binafsi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Pawn Gold Test Kit- 1000g Scale,10k,14k,18k,22k Ya ku test Gold mpaka 1000g Mpya Kabisa Bei 350,000/=
0 Reactions
2 Replies
781 Views
Wakuu habari zenu.. Nauza simu yang tecno boom j8 Imetumika miezi miwili na ina Hali nzuri tuu na ina kila kitu chake pamoja na lisit yake. Nipo kahama . Bei ni 280000 Nifuate PM specifications...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu natangaza dau kwa yeyote anayeweza kunipatia kitabu cha MASHAIRI YA SAADAN ABDUL KANDORO nitamlipa laki mbili taslmu shilingi za kitanzania papo hapo. Nipo mwananyamala Dar. Asanteni sana...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Kwa wale wenye uhitaji wa mayai ya kienyeji kwa ajili ya kutamilisha na matumizi mengine ya nyumbani yanapatikana kwa bei ya shilingi...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
Heshima kwenu wana bodi, Nataka kufungua biashara ya kuuza juice sasa natafuta friji ambayo inauwezo wa kuhifadhi lita 40 kwa pamoja. Je naweza pata friji lenye uwezo wa huhifadhi kiwango hicho...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Back
Top Bottom