Nahitaji bata bukini pls....nipo dar

Nahitaji bata bukini pls....nipo dar

Nako78

New Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
2
Reaction score
0
hello wana JF,kwa mwenyekujua mahali nitapaweza kuwapata bata bukini au wale wenye midomo ya njano tusaidiane
mimi nipo dar na nataka kuanza ujasiriliamali na hao bata pamoja na bata maji
thanks
 
Taja bei na mahali ulipo..wahitaji huwenda wakawa wako wengi.
Mkoa- Dar es Salaam
sehemu/shamba=Mbezi kwa Msuguri
Bei-180,000
Umri - Miezi Nane
Rangi- wako weupe kabisa na wengine grey na mix white and grey
Idadi- yoyote utakayotak
 
Mkoa- Dar es Salaam
sehemu/shamba=Mbezi kwa Msuguri
Bei-180,000
Umri - Miezi Nane
Rangi- wako weupe kabisa na wengine grey na mix white and grey
Idadi- yoyote utakayotak

Mkuu nisaidie, mayai yake yanatotolewa baada ya muda gani na kwanini wanauzwa bei kubwa sana?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mkuu nisaidie, mayai yake yanatotolewa baada ya muda gani na kwanini wanauzwa bei kubwa sana?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mkuu hawa bata wanataga mayai 7-8 mara moja na wanataga mara mbili kwa mwaka. Handling ya mayai ni very complicated na usipochukua tahadhari kuanguliwa itachukua mda.Wanatamia kwa mda wa cku 28-30 na kawaida yai la kwanza kutagwa si rahisi kuanguliwa
 
Mkoa- Dar es Salaam
sehemu/shamba=Mbezi kwa Msuguri
Bei-180,000
Umri - Miezi Nane
Rangi- wako weupe kabisa na wengine grey na mix white and grey
Idadi- yoyote utakayotak
Nahitaji bukini jike white nitapata?
 
Mkuu vifaranga unavyo? Unauza kwa bei gani kifaranga kimoja cha bukini??
 
Shukran.....hebu nipashe tofauti zao nitamjuaje Bata bikini na bata mzinga
upload_2017-6-30_11-50-41.jpeg
bukini
 
Mkuu Vifaranga watakuwa na miezi miwili siwezi kuuza ila nauza wenye miezi 8 kuendelea
 
Yaaap nimekuelewa vizuri.....kwa hiyo yake makbwa yanayopiga kelele ndiyo Bata Mzinga.Na hawa tulio nao mtaani ndiyo bata gani... ?
mtaani ni bata maji ila sina uhakika
 
hello wana JF,kwa mwenyekujua mahali nitapaweza kuwapata bata bukini au wale wenye midomo ya njano tusaidiane
mimi nipo dar na nataka kuanza ujasiriliamali na hao bata pamoja na bata maji
thanks


mkuu karibu katika tasnia...,ila nikupe angalizo....fuga bukini kwaajili ya mapambo, ni mgumu sana kumfanya awe mdege wa kibiashara....
 
Back
Top Bottom