Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza
Wakulima wa karanga Tanzania, kijana wenu Diamond katangaza neema hiyo ya kununua karanga.
Mahitaji yao ni tani 100 kila mwezi na sifa za karanga zipo...
Gari rav4 inauzwa, kwa anayehitaji tuwasiliane kwa taarifa zaidi, muuzaji anapatikana kwa 0784287546. (Only for serious buyer)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila punje moja katika pakiti ya diamond karanga unainunua kati ya Tsh. 15 - 18, kabla ya kutoa gharama za uzalishaji. Zinatakiwa kuwa 20, sema ndio hivyo unaweza kukuta hadi 16 katika pakiti...
Viwaja vinauzwa kibamba,mbezi,chanika kibaha,mbagara,tabata,bunju, bei kuanzia laki nane hatua 25 kwa 25 mawasiliano 0717342414/0764816096/0788492588
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu yupo South Africa nahitaji anitumie mzigo, naombeni mnisaidie njia rahisi anayoweza kutumia nikaupata mzigo kirahisi pia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee nasikia kuna watu washakamata mshiko wa makinikia,msikremu sio lazima Noah chukua Ist hii hiyo 5.3 fanyia mambo mengine .
Hata wale mtaani kwao mademu wanashoboka na D ndio hii nimewaletea...
Nauza dvd player na subwoofer (pichani) bado ni mpya kabisa nimetumia miezi 2 risiti za manunuzi ninazo na cable zake zote zipo.
Subwoofer inasoma flash disk, memory card pia ina fm radio.
Dvd...
Vinauzwa kwa pamoja hivyo vitu vikiwa ktk ubora wake,kwa mwenye UHITAJI bhas plz anakaribishwa INBOX na sio kwenye comment if ur serious na una swali lolote bhas karibu inbox
Anahitajika mnunuzi...
Kiwanja kinauzwa kipo mbagala kongowe -mlamleni .Kutoka barabara ya lami ni dk 15 kwa mwendo wa gar.
Ukubwa wake ni 20/20
Bei imepungua kutoka mil 3.
Ukihitaji kupaona utapelekwa...
Baada ya Bomoa bomoa inayotukumba Katika Jiji la Dar hasa hasa Kimara hadi Kibamba. Nimeamua kufunga biashara yangu ya Duka.
Nilikuwa na Duka/frem ambayo nilikuwa naendesha angalau maisha yangu...
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu mm si mwenyeji sana mwanza ivyo nahitaji kama kuna mtu ajua kuna nyumba sehemu kuanzia GHANA HADI AIRPORT karibu na barabara tafadhari tusaidiane...
jamaan nauza simu aina ya itel.
ni mpya nmenunua haijafikisha hata week moja toka niinunue na risit ipo.
ni s31
ina GB 16
bei ni 170,000/=
anayehitaji anichek kwa hii namba
0757785883
Sent...
Habari, nauza sabuni nzuri mno inayoondoa chunusi, madoa na kutibu magonjwa yote ya ngozi inapatikana kwetu kwa sh 7000,popote tunatuma
Call/Watsap 0754889338
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki...
*PHYTOSCIENCE*Hi ni multilevel marketing company ambayo makao makuu yako nchini Malyesia,ili Anza mwaka 2012 baada ya kufanya utafiti wa Hali ya juu kuhusu products zake na kuona utendaji wake...
Iwapo unaitaji kufungiwa CCTV Camera iwe nyumbani, Ofsini, katika warehouse, stoo na sehemu mbalimbali usisite kuwasiliana nasi sisi Right Click Solutions Tanzania.
- Usisite kuwasiliana na sisi...
habari wadau..
ninauza laptop yangu asus net book eepc.. bei laki 2 na nusu tu...
inakaa na chaji 2 hours.
ina 2g ram na 300 gb hard disk
nia yangu niuze ninunue desktop kubwa kwa kazi zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.