Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza Wakulima wa karanga Tanzania, kijana wenu Diamond katangaza neema hiyo ya kununua karanga. Mahitaji yao ni tani 100 kila mwezi na sifa za karanga zipo...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Gari rav4 inauzwa, kwa anayehitaji tuwasiliane kwa taarifa zaidi, muuzaji anapatikana kwa 0784287546. (Only for serious buyer) Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila punje moja katika pakiti ya diamond karanga unainunua kati ya Tsh. 15 - 18, kabla ya kutoa gharama za uzalishaji. Zinatakiwa kuwa 20, sema ndio hivyo unaweza kukuta hadi 16 katika pakiti...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Viwaja vinauzwa kibamba,mbezi,chanika kibaha,mbagara,tabata,bunju, bei kuanzia laki nane hatua 25 kwa 25 mawasiliano 0717342414/0764816096/0788492588 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Naitaji thermal printer mwenye nayo au anaejua napoeza kuzipata pliz nisaidie. Tufanye biashara... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Kuna mtu yupo South Africa nahitaji anitumie mzigo, naombeni mnisaidie njia rahisi anayoweza kutumia nikaupata mzigo kirahisi pia! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
890 Views
Wazee nasikia kuna watu washakamata mshiko wa makinikia,msikremu sio lazima Noah chukua Ist hii hiyo 5.3 fanyia mambo mengine . Hata wale mtaani kwao mademu wanashoboka na D ndio hii nimewaletea...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza dvd player na subwoofer (pichani) bado ni mpya kabisa nimetumia miezi 2 risiti za manunuzi ninazo na cable zake zote zipo. Subwoofer inasoma flash disk, memory card pia ina fm radio. Dvd...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Vinauzwa kwa pamoja hivyo vitu vikiwa ktk ubora wake,kwa mwenye UHITAJI bhas plz anakaribishwa INBOX na sio kwenye comment if ur serious na una swali lolote bhas karibu inbox Anahitajika mnunuzi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo mbagala kongowe -mlamleni .Kutoka barabara ya lami ni dk 15 kwa mwendo wa gar. Ukubwa wake ni 20/20 Bei imepungua kutoka mil 3. Ukihitaji kupaona utapelekwa...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Baada ya Bomoa bomoa inayotukumba Katika Jiji la Dar hasa hasa Kimara hadi Kibamba. Nimeamua kufunga biashara yangu ya Duka. Nilikuwa na Duka/frem ambayo nilikuwa naendesha angalau maisha yangu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kuwa anauza hicho kifaa,au anafahamu mahali wanapouza anisaidie Ahsanten sana
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu mm si mwenyeji sana mwanza ivyo nahitaji kama kuna mtu ajua kuna nyumba sehemu kuanzia GHANA HADI AIRPORT karibu na barabara tafadhari tusaidiane...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jamaan nauza simu aina ya itel. ni mpya nmenunua haijafikisha hata week moja toka niinunue na risit ipo. ni s31 ina GB 16 bei ni 170,000/= anayehitaji anichek kwa hii namba 0757785883 Sent...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nauza laptop yangu Specs/Wasifu: Brand: HP 655 Processor: AMD E1- 1200 APU with Radeon Graphics System type: x64 RAM: 2GB HDD: 320GB Display:15"5 inches LED Battery: 3+ hrs Nahitaji 350k...
0 Reactions
3 Replies
928 Views
Habari, nauza sabuni nzuri mno inayoondoa chunusi, madoa na kutibu magonjwa yote ya ngozi inapatikana kwetu kwa sh 7000,popote tunatuma Call/Watsap 0754889338 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
*PHYTOSCIENCE*Hi ni multilevel marketing company ambayo makao makuu yako nchini Malyesia,ili Anza mwaka 2012 baada ya kufanya utafiti wa Hali ya juu kuhusu products zake na kuona utendaji wake...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Iwapo unaitaji kufungiwa CCTV Camera iwe nyumbani, Ofsini, katika warehouse, stoo na sehemu mbalimbali usisite kuwasiliana nasi sisi Right Click Solutions Tanzania. - Usisite kuwasiliana na sisi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wadau.. ninauza laptop yangu asus net book eepc.. bei laki 2 na nusu tu... inakaa na chaji 2 hours. ina 2g ram na 300 gb hard disk nia yangu niuze ninunue desktop kubwa kwa kazi zangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom