Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nilitafuta dvd za programing, kuna package kubwa. Nimeona kuna watu wanahitaji, zinaweza kuwasaidia na wengine. Kwa anayehitaji Njoo inbox.
1 Reactions
8 Replies
945 Views
Habari wana jf sasa unaweza jipatia begi za backpack, lucksuck na handbag za wanawake zilizotengenezwa kwa material ya kiafrika. Tunapatikana Mwanza karibu na Commecial Bank of Africa. Keep calm...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari wanajamvi..pikipiki aina ya TOYO Cc125 inauzwa! Ina mwaka mmoja barabarani ina document zote..kwa anayehitaji iko musoma mjini tuwasiliane 0768424274/0782277999 Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Habarini wakuu..! kama kwenye kichwa cha habari hapo juu kinavyosema, nahitaji screen aina ya TCL LED Smart Flat screen ya nch 32 kwa haraka sana yaani ikiwezekana mpaka kufikia kesho saa 3...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye Laptop Toshiba, HP au Samsung..Hard Disk isipungue 250GB na Ram Japo 3GB Tuwasiliane NIPO Zanzibar Kwasasa.. +255 762 466 293
0 Reactions
6 Replies
951 Views
Offer yangu ni m 8 namba yeyote lkn iwe ktk hali nzuri. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari Nahitaji gari iwe, Toyota Noah old model. -Gia fupi -Automatic transmission -Iwe katika hali nzuri -Isiwe imeshawahi pata ajali wala kufunguliwa engine. -Pia iwe zanzibar ambako nilipo...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwenye kuhitaji nursery teacher... Yupo teacher mzoefu na weny sifa na primary pia yuko mweny vigezo amesoma garissa kenya 0712770729 ..0685580057 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Ninauza Kiwanja Tegeta boko, ukubwa 20×20. Kimepimwa na hati miliki. Mawasiliano 0672211602. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
898 Views
good quality,nashndwa kuattach photo 4 now.. colour grey,32gb..haina tatzo lolote. best offer comment or pm.
1 Reactions
6 Replies
889 Views
ninahitaji uwakala wa betting kampuni yoyote ile
0 Reactions
1 Replies
749 Views
mm niko mkoa wa kigoma nahitaji uwakala wa moja kati ya makampuni ya batting
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Are you a busy person ? Don't have time or energy to clean your home & washing your clothes/beddings/ sheets etc don't worry' Let me clean and arranging your house/ room , wash your clothes,sheets...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunachora ramani kwa gharama nafuu sana kulingana na maitaji yako.. Kwa nyumba ya vyumba vitatu na vinne ni 250,000/= Ramani inakuwa na 3D na mihuri.. Pia tunatoa msaada wa kupata vibali vya...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Thread has been deleted.
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Wale wazee wa blogging kuna akaunt ya AdSense non hosted inauzwa contact 0673864079 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
791 Views
Accer P1165 Brightness: 2,400 Lumens Eco-Mode(Lumens): 1,920 Contrast: 2,000:1 Auto Iris: No Resolution: 800x600 Aspect Ratio: 4:3 (SVGA) Video Modes: 720p, 1080i, 480p, 480i Data Modes: MAX...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji pikipiki ya magurudumu matatu aina ya TVS King iliyotumika.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya kukomaa na kufika mwezi wa sita na hata wa saba nikiwa mjini. Hatimaye vyuma vimekaza kiasi cha kuamua kujisalimisha mwenyewe kijijini. Wana JF nauza vitu vyangu kwa bei chee ili...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
wakuu habari, nahitaji piki pike sina ya t better au San lg used ILA iwe katika hali nzuri wadau,bajeti yangu ni tsh laki 6,mazungumzo yapo.kwa mawasiliano 0744220366.karibuni sana wadau tuyajenge.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom