Kama kuna mwenye kuhitaji kununua au kuuza kiwanja au Nyumba ndani ya JIJI la Mwanza na Viunga vyake wasiliana nasi upate mahali/sehemu yoyote jijin Mwanza.
mawasiliano.0767791405/0789998398.
KARIBUNI
NYUMBA.
iko NYAMHONGOLO-Igoma Mwanza ina vyumba
3(master1+self2),sebule+jiko iko kwenye finishing
ya floor imeshaezekwa maji yamo umeme pia
umefika(ingiwa haujaingizwa kwenye nyumba).
mtindo wa nyumba ni wa kisasa.
kiwwnja ni 30×40.
bei mil35 Maelewano yapo.
KARIBUNI WOTE.
mawasiliano.0767791405/0789998398
KIWANJA.
kiko NYASAKA karibu na barabara ya lami
inayokatikatiza toka Buzuruga-
pasiansi.Kimepimwa,umeme na maji yamefika.
Ukubwa ni 40x55 bei yake ni mil9 tu.
KARIBUNI
KIWANJA.
kiko NYASAKA karibu na barabara ya lami
inayokatikatiza toka Buzuruga-
pasiansi.Kimepimwa,umeme na maji yamefika.
Ukubwa ni 40x55 bei yake ni mil9 tu.
KARIBUNI
Hapa kwa hawa jamaa unakua umeingia kwenye mikono ya madalali tayari ambao kimsingi kama unauza watakuchelewesha kuuza kwa kupandisha sana bei ya kiwanja chako na kukuchelewesha kupata fedha kwa ajili ya shughuli zako.
Ni bora ukitangaze na uuzew wewe mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.