Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna vyumba vinapangishwa Dodoma mjini, self contained, woodern syling board, no tiles but nice floor, water available in doors 24hrs, electricity (10,000/= kwa mwezi), bei 80,000/= kwa mwezi...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Lipo maeneo ya Ukonga kipunguni moshi bar. Ni hivi ilikuwa ni nyumba kubwa lkn mwenyewe watu aliowaachia wantuzie hiyo nyumba upande mmoja wa nyumba walikuwa wamechimba mchanga nyumba ikabomoka...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Masomo ya Pre - form one yameanza kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba. Wazazi na walezi mnatangaziwa kuwaandikisha watoto wenu kituoni kwetu, EBENEZA ACADEMY. Pia, Tunafundisha wanafunzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta gari nina budget ya Million 5 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuu, naomba mnisaidie kujua godoro Bora kununua la kulalia 5 *6 nchi 6/8 na bei zake kwa mkoa wa Kigoma. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza ukwaju kilo 2100 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
804 Views
Hii ni Kwa Wale wanaotarajia kufanya mtihani wa necta masomo ya chemistry na biology Mwalimu yupo anapatikana kwa gharama nafuu tunafanya solving ya maswali yote kwa topic zote Kwa mawasiliano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye gari tajwa apo na mwenye uwezo wa kupokea malipo ya taratibu tutafutane.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
@elegantglamour #mobilemua arusha napatikana moshono #Mysaloon ukihitaji kufuatwa nyumbani pia huduma ipo, mikoa yote Tz nasafiri, bei zetu ni sawa na bure cheap kabisa na make up ni original...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
kiwanja kinauzwa Luchelele mwanza kina urefu 64 na mapana 35 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyama ya nguruwe poa kabisa inapatikana kwa bei ya chini. Bila malipo yoyote. Mbichi Kilo @8500/= Reja reja na @8000 jumla kuanzia kilo 2 Roast au kavu kwa 14000/- tu Unaletewa popote ulipo...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza zipo jumla lita 2000 yaani dumu 100 za asali mbichi original ya nyuki wakubwa ujazo wa lita 20. Mazungumzo kidogo kwenye bei yapo karibuni. Dar es Salaam pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wale wataalamu wakutengeneza bidhaa mbalimbali za nyumbani kwa ajili ya kulaaaa wamekuletea peanut butter nzuri tamu na laini yaani wazungu wanaitaa smooth ka ileeeee ya american garden kwaniji...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
(Ipod 5th gene ,32gb used km miezi 4 v),exchange deal na (LTE Mobile WiFi Hotspot-router + 50k ).. nb.negotiable deals!!!! wapnzi wa picha-click hpa chini upate mfano ipod- iPod 5th Gen Dar...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Nahitaji gari aina ya Toyota Noah (old model ) 1 *Iwe katika great and excellent condition* 2 *Rangi yoyote* 3 *Isiwe imerudiwa rangi wala kufunguliwa Engine* 3 *Gia Fupi and automatic* 4 *Isiwe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hbr za asubuh wana Jamii.. kama kichwa cha hbr kinavosoma. mimi na wenzangu watatu tumelima tangawizi takribani heka 8.Na ninavoandika huu ujumbe, ni kwamba mzgo uko tayari kuvunwa kule Songea...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta mteja wa dagaa wa Bukoba kwa mikoa yote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Pikipiki cc750 inatembea haina tatizo karibuni,Bei ni 2.5M pia unakaribishwa Mazungumzo..... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wakuu Natafuta Chumba kimoja kiwe self-contained maeneo ya Mbezi Beach, Sinza au Makongo Juu... Nyumba iwe ndani ya Fensi, Isiwe na wapangaji wengi kuepuka kupigizana kelele. Bajeti...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Eneo dogo tu la kuweka kibanda changu cha kufanyia biashara, inaweza kuwa Sinza, ubungo, makumbusho, au maeneo mengine karibu na hayo. Iwe ni sehemu yenye movement ya watu. Kama una eneo hilo au...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom