nkienda insta naona 55,000 tshs...
nlivyopita kkoo kuna mtu akanambia 18,000 ila hakunionesha (sikuiona)
kwa anaejua bei yake inarange vipi,nsije pigwa
Zipo ekar 40 miti INA umri Wa mwaka mmoja
Bei ya kila ekar ni tsh 300000 pamoja na Ardhi
Shamba lipo kijiji cha MFIRIGA ktk mkoa Wa Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie
0764426929 au 0655726929
Lutaingia Lita 2000
Halina demage yeyote
Halijawahi kutumika/Halijapauka
Limeshatobolewa cock ya kutolea maji.
Unaweza ukapata na sehemu ya pipe yake yenye urefu wa kama mita 4
Bei 200000
Karibuni...
Habarini za kuamka wana JF, mm nimefungua saloon ya kike Nyamongo Tarime, ninatafuta mfanyakazi ambae naweza kufanya nae kazi kwa uaminifu, ntamwachia Saloon ataiendesha mm ninajishughulisha na...
Friji brand BEKO linafanya kazi vizuri ....lina sehem ya friji na freezer
Being 450k
Kiitanda cha mninga 6*6 godoro nchi 8 kwa laki 350K
Kabat la nguo #mchina lina marekebisho kidogo...
Nina uhitaji mkubwa sana wa gari aina ya NOAH ivyo kwa yeyote ambaye ana aina iyo ya gar ani PM haraka sana, ila iwe kwenye hari nzur ofa yangu ni M6 mpaka M6.5 au mnitafute kwa no 0715 546818...
Kwa wajasiriamali mashine ya kuoka mikate inayotumia mkaa kidogo tu yaani wa tsh 500/= inauzwa.
Ni mashine ya kuoka mikate na keki,mashine inapatikana tabora kwa wateja wa mikoani unatumiwa mpaka...
Ninauza mashine ya Kuprint Tshirt...6 colours 6 stations screen printing machine..inakuja pamoja na Flash drier lake na light box...Imetumika kwaajili ya kufanyia testing tu tangu ifike...
Je unamiliki shule ya msingi au sekondari ambayo imeshasajiliwa na ungependa kufungua tawi au campus nyingine katika jiji la Dar es Salaam maeneo yenye population kubwa kama chanika mjini...
Inahitajika simu mpya bajeti laki mbili preferably Tecno, huawei or any other.
Brand nyingine kama used itapatikana poa tu, lakini isiwe imetumika muda mrefu.
Nipm then nitakuconnect na muhitaji.
Niko mwanza ila nataka nihamie nchi jirani nina flat screen ya startimes inch 40 ,ni hd nimeinunua tarehe tatu mwezi wa nane mwaka huu, kwa maana ya kwamba ndo ina mwezi moja na wiki mbili, mbezi...
1.Kiwanja hiki kipo nala kibaoni
2.Eneo liko umbali wa kilomita 13 kutoka katikati ya mji(town centre)
3.Eneo liko umbali usiozidi kilomita 1.2 kutoka barabara kuu iendayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.