Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nissan navara 2.5Di T427 DCF Manufacture year-1998 Engine Capacity-2779cc Mileage-176500km No any mechanical fault Contact:0787395557
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana Jf, last time nilitafuta house girl humu ndani, nashukuru nilimpata na tuko nae mpaka sasa anamlea mwanangu n mwezi wa tatu sasa na hakuna tatizo lolote. Asante kwa wana Jf wote...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
toyota altezza inauzwa milioni saba, Yeyote mwenye uhitaji ani PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamii kama kuna MTU anatengeneza vifungashio vya plastic mifuko ya plastic au kama kuna MTU anajua jinsi ya kutengeneza please naomba muongozo Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
9K Views
Tunauza shamba lenye ukubwa wa hekari 1200, ambalo liko Lupembe - Njombe. Ardhi ya hapa inafaa sana kwa upandaji wa miti na chai, pia mazao mengine. Tunapenda kupata mnunuzi atayeweza kuchukua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
PRINTING: PVC Plastic Id card ( hard like ATM) PVC Certificates ( for colleges) PVC Menus ( for HOTELS) Business card - Laminated - Art paper - Gloss paper Posters Brochures Fliers Name Tag LOGO (...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
· Abdul Khaliq Saeed announced as CEO of Etihad Airways Engineering Abu Dhabi, UAE – The Etihad Aviation Group (EAG) today confirmed Abdul Khaliq Saeed as the new Chief Executive Officer...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Namba za utambuzi wa mifugo yako yaani ear tags tunaziuza kwa bei poa kabisa - Kazi kuu ya ear tags ni kwaajili ya kuwatambua wanyama wako. - Kila ear tag ina namba yake - Hivyo ukiwavalisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ahsanteni kwa mlionunua vitanda vya chuma
3 Reactions
23 Replies
63K Views
piki piki km hapo juu inahitajika.... brand new.. Au iwe inafanana na iyo. Isiwe na cluch... na iwe ina uwezo wa kupakia mtu... na tairi ziwe nyembamba.... Mwenye nayo au anayejua wapi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza Kiwanja tegeta boko(dawasco) kabla ya basihaya ,ukubwa 400sqm ,kimepimwa na hati miliki,bei million 28 tu, .karibu ufurahie upepo wa bahari ni mita chache kutoka baharin 0672211602 Sent...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kitanda kipya kina wiki 2 tangu kinunuliwe kinauzwa. Ni 5x6, kipo Kigogo. PM namba yako tuwasiliane uje ukiangalie. :::::::::::::::::: Nimeweka picha sasa. Kitanda hicho hapo jamani.
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Mwasonga ipo kilomita 9 kutoka Kibada, Kigamboni. Mbele kidogo ya Dar es salaam Zoo na jirani na Chuo kikuu cha kipya cha Wakorea. Viwanja hivi vimepimwa na vipo vya ukubwa kuanzia mita za mraba...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu Salaam. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kiwanja chenye ukubwa wa nusu ekari kinauzwa ,anayeuza ni Dada yangu ni kwenye makazi ya watu ukihitaji tufuatane pm kwa maelezo ana shida...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kimanzichana ni Kimji ambacho Kipo pembeni mwa barabara inayoelekea Mtwara (Kilwa road), Kadiri ya kilomita 45 kutoka Dar es salaam mjini. Shamba lipo la ukubwa wa Ekari 200 Ambazo zinauzwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nipo kinondon manyanya..0655674747.. Ina 32gb internal 13 pixel 1gb ram
0 Reactions
1 Replies
732 Views
samahan kwa kuwapotezea muda. mi ni kijana ambaye nimejaribu kuanza kibanda changu lakini kwa bahati mbaya ramani ya paa imepotea. na nimeshafika ujenzi wa juu wa matofari mda kidogo. nyumba yangu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Najua ili uweze kuwa na uhakika na kuona mpira wenye ubora lazima uwe na DSTV, lakini sio lazima ununue DSTV, Pata slim chip yenye channels zaidi ya 200, DSTV lazima ununue kifurusi cha 210,000...
12 Reactions
86 Replies
12K Views
Habari! Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kupanua wigo wa kazi zetu. Licha ya kutoa huduma ya ujenzi lkn pia tumeanza na kutoa huduma ya Ufundi umeme fumigation. Property management. Furniture...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Government Accounting ni moja kati ya topic ambayo inasumbua sana mashuleni kwa wote walimu na wanafunzi, Topic hii iko kwenye kitabu cha book two kinachotarajia kutoka hivi punde. Jipatie...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Back
Top Bottom