Heshima kwenu wakuu.
Ninauza shamba la kupanda miti/hasa miti ya mbao ( pines na mlingoti/eucalyptus) ekari 15. Shamba lipo maeneo ya Njombe Mjimwema,lipo KM 6 kutoka Njombe Petrol Station barabara kuu ya Njombe Songea.
Kila ekari nauza TZS 600,000.
Nauza kuanzia ekari 5 na kuendelea.
Mazungumzo yapo.
Namba Tanisha na picha za eneo la shamba.
N:B Nilipanda miti hapo shamba mwaka 2006 na nimevuna mwaka huu mwanzoni.
Sababu ya kuuza ni nataka kubadiliaina ya kilimo nachofanya.
Kwa maelezo zaidi tafadhali tuwasiliane kwa email nurumode@gmail.com.
Karibu.
Ninauza shamba la kupanda miti/hasa miti ya mbao ( pines na mlingoti/eucalyptus) ekari 15. Shamba lipo maeneo ya Njombe Mjimwema,lipo KM 6 kutoka Njombe Petrol Station barabara kuu ya Njombe Songea.
Kila ekari nauza TZS 600,000.
Nauza kuanzia ekari 5 na kuendelea.
Mazungumzo yapo.
Namba Tanisha na picha za eneo la shamba.
N:B Nilipanda miti hapo shamba mwaka 2006 na nimevuna mwaka huu mwanzoni.
Sababu ya kuuza ni nataka kubadiliaina ya kilimo nachofanya.
Kwa maelezo zaidi tafadhali tuwasiliane kwa email nurumode@gmail.com.
Karibu.