Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi ni me Elimu ni chuo Course IT Cheti diploma natafuta Kazi mshahara ata kuanzia laki 2 au 250 sawa Niko vizuri kwenye maswala ya compture.
0 Reactions
4 Replies
958 Views
Habari wakuu,nahitaji sim tank LA Lt 5000 ,nipo mza,nashukuru kwa ushirikiano
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni aina ya Huoniao HN 125, IPO kwenye hali nzuri imetembea 20,000 km, bei maelewano
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habar hapo juu. Chumba sebule choo chake kipo vizur kina tiles bei yake 200,000 kwa mwezi. Pia ipo kubwa vyumba viwili choo chake na sehemu ya jiko. Bei yake 300,000/- kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Scarf za kisasa unaweza ukafunga kichwani unaweza kufunga kama hijabu na unaweza kufunga kama inavyoonekana hapo jumla 7500 rejareja 12000 Kwa mawasiliano 0717251523 / 0654622685
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau, Natafuta eneo la wazi la kuuzia chakula preferably posta. Ila ikishindikana kabisa hata kariakoo. Liweze kuruhusu angalau meza 10 za plastiki na eneo kubwa kwa ajili ya jiko na...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Habari wakuu. Nina mgonjwa wa kisukari.Natafuta REPLACE nutrional supplements ili impe nguvu.Naipata wapi?
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta cherehan ya mkono kwa yeyote anayeuza anijize bei tafadhat Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Zimebaki dumu 30 za lita20,nauza kwa bei ya kumalizia mzigo 105000 kwa dumu moja la lita 20. 0626446244
0 Reactions
2 Replies
986 Views
thread closed
0 Reactions
65 Replies
18K Views
Godoro la comfy ukbwa 5*6 inch 6 sh 100000, netbox pamoja na net yake 15000. Nipo ubungo msewe Call 0716590309
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Habarini wana jf, leo nimeona niwashirikishe mafunzo mazuri ya Ujasiriamali yatakayokupa maarifa yakuweza kumudu biashara na shuhuli nyengine za kukuingizia kipato. Kumbuka katika mafunzo haya...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kama kuna mtu anajuwa wapi nawezakupata video camera used anijulishe kwa simu 0714 418918 hasa aina ya canon
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Kama kuna mtu anajuwa wapi nawezakupata video camera used anijulishe kwa simu 0714 418918 hasa aina ya canon
0 Reactions
0 Replies
861 Views
mwenye nayo mpya au used battery ya xiaomi Note Lte tutafutane kupitia +255654444064 na picha ya battery ni hii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naulizia wanunuzi wa spessartite garnet toka Mozambique. Km kuna wanunuzi wowote Arusha au Dar basi tujulishane. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Duka: online store Malipo:cash on delivery Zilizopo: IPHONE: 5(16gb)-495,000 5(32gb)-510,000 5s(16gb)-550,000 5s(32gb)-600,000 6(16gb)-760,000 6(64gb)-870,000 6gold(16gb)-790,000...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Noah road tour ya model 1999 yenye detail zifwatazo Engen 3s Cc1998 Katika noah zote hii ndo model imara sana kulipo model zote Inaweza kibeba watu hadi kumi na mbili Ina music system yeny tv...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari kuna viwanja vingi tunaviuza maeneo ya kigamboni yale yale puna ambapo ni kilometer 37 kutoka ferry ya kigamboni na ni dakika 55 kwa gari mwendo wa kawaida. Bei ya viwanja kwa square meter...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Back
Top Bottom