Mecky Hamphrey
Senior Member
- May 2, 2013
- 101
- 18
Kitanda size 5*6 kwa 230000 tu
Ofa hii ni kwa leo tu 28.09.2017
0688767668 au 0715967107
Ofa hii ni kwa leo tu 28.09.2017
0688767668 au 0715967107
Sheik mpiga puchu naona unatafuta kitanda vp umeacha kufanya tendo la ndoa na mkono ?Unakosea kuweka Picha za Ku google...
Weka picha halisi ya kitanda unachouza bei hiyo....
Ndilo tatizo, nimegoogle nimeweka hapo na lik alipodesaUnakosea kuweka Picha za Ku google...
Weka picha halisi ya kitanda unachouza bei hiyo....
Unataka ofa? Kama ni 'GREAT THINKER' unayedhani kuwa products zetu Autoguru haziwezi kuwa google endelea kufikiri hivyoNdilo tatizo, nimegoogle nimeweka hapo na lik alipodesa
Kinondoni Manyanya opposite muslim schooluko wap
Tembelea www.autogurugarage.co.tz kuona kazi zetuKinondoni Manyanya opposite muslim school
Do you have those products in Dar es salaam or elsewhere in Tanzania?Unataka ofa? Kama ni 'GREAT THINKER' unayedhani kuwa products zetu Autoguru haziwezi kuwa google endelea kufikiri hivyo
Google www.autogurugarage.co.tz kuona kazi zetu nyingine
Usidhani google ni yao tu, ni yetu sote
Open googlemybusiness kama na wewe unataka biashara yako ionekane google... Poor mind
Usafiri wa kuniletea kwangu juu yako?Tembelea www.autogurugarage.co.tz kuona kazi zetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu naona povu linakutoka tuu hujamuelewa jamaa piga picha kitanda halisi na sio picha za googleUnataka ofa? Kama ni 'GREAT THINKER' unayedhani kuwa products zetu Autoguru haziwezi kuwa google endelea kufikiri hivyo
Google www.autogurugarage.co.tz kuona kazi zetu nyingine
Usidhani google ni yao tu, ni yetu sote
Open googlemybusiness kama na wewe unataka biashara yako ionekane google... Poor mind
Juu yako boss, ila tunakuletea unalipiaUsafiri wa kuniletea kwangu juu yako?
220000 size 4kwa6Ila anyways me nahitaji nne kwa sita kama naweza kupata na bei pia
nipo kigoma mnaweza kunitumia kwa basi220000 size 4kwa6
Tunakutumia kwa basi mkuu, tuwasiliane kwa 0688767668 au 0715967107nipo kigoma mnaweza kunitumia kwa basi