RED MERCURY NEEDED

Mimi najua inapopatikana ...ila kuna nyoka mkubwa sana hapo hatoki na hapaendeki
 
Duuhhhh......haya mambo ya 1970.Amini usiamini.
....kama utafanikiwa kuipata narudia kama utafanikiwa kuipata hautampata mnunuzi yaani huyu anayehitaji atatokomea kusikojulikana.
CHUKUWA MANENO YANGU KAMA AKIBA.
KWELI KABISA
 
Kama kuna MTU anajua mahali inakopatikana penye pango nk aje pm Mimi ninajua cha kufanya
 
Nimesema nioneshe hapo mahali mengine niachie Mimi. Wewe usiseme hakuendeki.Kwangu mm pataendeka na pataingilika kwa uwezo wa mola wetu mlezi.
 
Nenda tanga sehem moja korogwe panitwa Tewe,ukifika pale Tewe muulizie jamaa mmoja anaitwa Majini saba au kaka yake anaitwa Sembe atakupeleka kwenye pango ilipo mtaelewane wenyewe
 
Mambo ya Makinikia haya, ilishawahi kunitoa jasho hiyo kitu kisa na mkasa ni makinikia kutoka GGM.
 
Mercury haina tofaut na mizik ya kuitafuta lupia bora ukachimbe madini tu sio mizik hyo ukilud salama bas umeikosa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom