Una bei gani kwa gramunayo au unajua hii substance inapopatikana? Tafadhali tuwasiliane MP
KWELI KABISADuuhhhh......haya mambo ya 1970.Amini usiamini.
....kama utafanikiwa kuipata narudia kama utafanikiwa kuipata hautampata mnunuzi yaani huyu anayehitaji atatokomea kusikojulikana.
CHUKUWA MANENO YANGU KAMA AKIBA.
Mimi najua ktk pango ambalo inapatikana hyo kitu but hakuendekiiKama kuna MTU anajua mahali inakopatikana penye pango nk aje pm Mimi ninajua cha kufanya
ulifika mdomo wa simba? au ulipelekwa nyakabaleMambo ya Makinikia haya, ilishawahi kunitoa jasho hiyo kitu kisa na mkasa ni makinikia kutoka GGM.
Nipe mawasiliano yako kama huko serious Mi ninayo mkononiunayo au unajua hii substance inapopatikana? Tafadhali tuwasiliane MP