Nyumba ya vyumba 4 inapangishwa ina kila kitu ndani bonyeza hapa.
Fully furnished 4 bedrooms house two rooms are ensuite and one master bedroom, and one single room. Kitchen, Sitting Room, Dining...
Mama & baba, shangazi & mjomba, dada & kaka.....[emoji344][emoji344] hivi bado kuna mtu anamashaka na haya #mafutayamaajabu???[emoji15]hebu achane kulala bwana. [emoji267]Africana Extra Virgin...
Jipatie vyombo vizuri vya mtumba grade 1
kwa bei nzuri chagua na wasiliana nasi
duka lipo Tegeta Namanga Dar es salaam
mawasiliano 0672464970 au 0655748974
instagram tunatumia kapu_la_mama
Imesomeka vizuri hapo juu wadau, injini ya skygo pikipiki inahitajika kwa ajili ya Ku fix kwenye Honda 110 .Mwenye nayo au anayejua bei na wapi ziliko anijuze
Nawasilisha wakuu wangu
Kwa wenye Maduka makubwa(Supermarkets) na Maduka madogo na ya kati(Minisupermarkets) na pia kwa walaji wa Nyumbani Zabibu freshi toka Dodoma zinapatikana zikiwa packed kabisa
Na kwa wanaohitaji...
Nipo dar kkoo/kigamboni ninahitaji friji BOSS mpya/isiwe used hata kama sijui japan size ya kati milango miwili juu frezer budget 400000 kwa mwene biashara ni PM Asante.
Hello!
Bandugu naomba km kuna mtu aweza kuwa na mashine ya kuuzia juisi (Juice Despenser) iwe kubwa kidogo anitafute pia kama unajua unaweza kunisaidia namna rahisi ya kuipata niko dsm. Hasa bei...
Wakuu Salaam., nikiwa katika maandalizi ya mama watoto ambaye ni mjamzito,
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D.,kutoka kwa mwenye mali. mwenye nayo ani PM niseme nae vizuri.
Budget kwa sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.