Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za muda huu wakuu Nahitaji front touch ya hii simu Xiaomi mi 2 mwenye maelezo ya wap naipata pia ntashukuru nipo Arusha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba 4 inapangishwa ina kila kitu ndani bonyeza hapa. Fully furnished 4 bedrooms house two rooms are ensuite and one master bedroom, and one single room. Kitchen, Sitting Room, Dining...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama headline inavyo jieleza hapo juu nahitaji flip chat desk mwenye nazo aje tufanye kazi
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mama & baba, shangazi & mjomba, dada & kaka.....[emoji344][emoji344] hivi bado kuna mtu anamashaka na haya #mafutayamaajabu???[emoji15]hebu achane kulala bwana. [emoji267]Africana Extra Virgin...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ni mpya boxed Bei 480000 kila moja
1 Reactions
6 Replies
1K Views
iwe black. iwe mpya au used in mint condition. bajet yang ni tsh500,000. dar
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Jipatie vyombo vizuri vya mtumba grade 1 kwa bei nzuri chagua na wasiliana nasi duka lipo Tegeta Namanga Dar es salaam mawasiliano 0672464970 au 0655748974 instagram tunatumia kapu_la_mama
1 Reactions
5 Replies
7K Views
New arrived Original perfumes and EAU DE TOILETTE from USA Call/WhatsApp 0713662655 dar
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Imesomeka vizuri hapo juu wadau, injini ya skygo pikipiki inahitajika kwa ajili ya Ku fix kwenye Honda 110 .Mwenye nayo au anayejua bei na wapi ziliko anijuze Nawasilisha wakuu wangu
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wenye Maduka makubwa(Supermarkets) na Maduka madogo na ya kati(Minisupermarkets) na pia kwa walaji wa Nyumbani Zabibu freshi toka Dodoma zinapatikana zikiwa packed kabisa Na kwa wanaohitaji...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza CD ya PlayStation 4 FIFA16 40,000/ tu 0713662655
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Space Grey 16GB 4G 400k Maelezo zaidi njoo pm.
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Nipo dar kkoo/kigamboni ninahitaji friji BOSS mpya/isiwe used hata kama sijui japan size ya kati milango miwili juu frezer budget 400000 kwa mwene biashara ni PM Asante.
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Hello! Bandugu naomba km kuna mtu aweza kuwa na mashine ya kuuzia juisi (Juice Despenser) iwe kubwa kidogo anitafute pia kama unajua unaweza kunisaidia namna rahisi ya kuipata niko dsm. Hasa bei...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu Salaam., nikiwa katika maandalizi ya mama watoto ambaye ni mjamzito, Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D.,kutoka kwa mwenye mali. mwenye nayo ani PM niseme nae vizuri. Budget kwa sasa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
.
0 Reactions
3 Replies
729 Views
.
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Habari ni wakuu,poleni na majukumu ya hapa na pale ya kulijenga taiga Ninahitaji simu Bajeti 200; Samsung J,S,note,zitapewa kipaumbele Asante
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Back
Top Bottom