Nina sambaza karanga mbichi kwa bei poa, karanga zinatokea mkoa mpya wa songwe wilaya ya mbozi, kubwa kubwa nyeumbe na nyekundu, bei yetu ni shilingi 2,500 nyeupe na 27,00 nyekundu, karibuni sana...
Salamu wakuu,
Natafuta Ps3 console mbili (2) za kununua ambazo zitakuwa mpya au zilizotumika kwenye hali nzuri pamoja na controller (pad) zake.
Mashine zilizoguswa guswa na kurekebishwa no...
Ramani za nyumba za kawaida na maghorofa,ramani za nyumba za kawaida sasa ni 250,000- 300,000 kama inakuwa na mabanda ya nyuma(servant quarter) inakuwa ni sh 350,000.
Ramani za ghorofa moja ni...
Kampuni ya Mindsource yenye makao yake Morocco na yenye kuendesha trainings ama mafunzo kwa watu walio maofisini ama hata waliomaliza masomo na wanataka kufanyiwa trainings, inatangaza nafasi ya...
Mara nyingi sana mtu akitaka kulima hasa mboga atatafuta shamba pembeni ya mto wenye maji ili aweze kulima mboga au matunda au hata mazao mengine.
Kwa hali ya sasa huu utaratibu ni hatari sana na...
Niwashirikishe Wakulima wa Papaya
Kampuni ya ELVEN AGRI iliyopo Mapinga Bagamoyo. Inahitaji matunda ya Papaya kwa wingi, kiasi cha tani 6 mpaka 8 kwa wiki.
Aina ya papaya: Ipb9 calina, Red...
Wahi sasa ujipatie blenda inayokamua na kuchuja juisi ya matunda mbalimbali bila kutumia umeme. Pia haisagi mbegu kwa matunda yenye mbegu kama machungwa, passion n.k
Utafikishiwa popote pale...
Habari,
Nahitaji scrap/skrepa/chuma chakavu,ninanua kwa anae weza kukusanya kuanzia tani moja na kuendelea tafadhari tuwasiliane soko ni uhakika na bei iko kama ifuatavyo
copper 1kg=900Tsh
blase...
Habari. Ninahitaji friji used ambalo lipo katika hali nzuri.dogo la size ya kati.ambalo lina sehemu ya kugandisha na kupooza. Au Kama una duka maeneo ya tabata kimanga nijulishe ntakuja. Ahsanteni
Habarini. Zinahitajika gari mbili za aina Toyota au Suzuki ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea ziwe na CC kuanzia 1000 - 2000. bei yake Isizidi Mil 7. kama kuna mtu atakuwa nayo...
SITTA ELECTRONICS DAR ES SALAAM TZ 0766 10 27 10.
- Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk
-...
Nyumba mpya ya kisasa yenye pande mbili ambapo kila upande una vyumba viwili, kimoja self, sebule, jiko, public toilet. Pia kuhusu umeme na maji ni kwamba kila upande una mita yake.
Mwenye...
Habari Wana JF.
Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika.
Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
habari wdau..
nauza laptop yangu ndogo asus eepc ..
bado ipo kwenye ubora haina tatizo lolote nimetumia mwaka mmoja..
sababu ya kuuza nahitaji laptop yenye screen kubwa na processor kubwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.