Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina sambaza karanga mbichi kwa bei poa, karanga zinatokea mkoa mpya wa songwe wilaya ya mbozi, kubwa kubwa nyeumbe na nyekundu, bei yetu ni shilingi 2,500 nyeupe na 27,00 nyekundu, karibuni sana...
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Frij ndogo bei 150,000 na tabulate kali 150,000.Mwenye navyo fanya haraka kabla sijamalizia pesa kwenye bia.
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Salamu wakuu, Natafuta Ps3 console mbili (2) za kununua ambazo zitakuwa mpya au zilizotumika kwenye hali nzuri pamoja na controller (pad) zake. Mashine zilizoguswa guswa na kurekebishwa no...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Ramani za nyumba za kawaida na maghorofa,ramani za nyumba za kawaida sasa ni 250,000- 300,000 kama inakuwa na mabanda ya nyuma(servant quarter) inakuwa ni sh 350,000. Ramani za ghorofa moja ni...
3 Reactions
22 Replies
18K Views
Kampuni ya Mindsource yenye makao yake Morocco na yenye kuendesha trainings ama mafunzo kwa watu walio maofisini ama hata waliomaliza masomo na wanataka kufanyiwa trainings, inatangaza nafasi ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, natafuta adapta ya computer HP compaq Mwenye nayo used au new msaada
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Call/whatsapp 0688767668/0715967107 Kinondoni Manyanya Mtaa wa Brazil Autoguru workshop
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara nyingi sana mtu akitaka kulima hasa mboga atatafuta shamba pembeni ya mto wenye maji ili aweze kulima mboga au matunda au hata mazao mengine. Kwa hali ya sasa huu utaratibu ni hatari sana na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Niwashirikishe Wakulima wa Papaya Kampuni ya ELVEN AGRI iliyopo Mapinga Bagamoyo. Inahitaji matunda ya Papaya kwa wingi, kiasi cha tani 6 mpaka 8 kwa wiki. Aina ya papaya: Ipb9 calina, Red...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wahi sasa ujipatie blenda inayokamua na kuchuja juisi ya matunda mbalimbali bila kutumia umeme. Pia haisagi mbegu kwa matunda yenye mbegu kama machungwa, passion n.k Utafikishiwa popote pale...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Ni mpya spark plus,box lipo na risti pia. Bei maelewano. 0713503445 ,0769386392 , 0626658983 ,0785717499
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni aina ya spark plus, grey , kamera 13 ,5 nimpya na box lake lipo bei maelewano piga 0769386392. Nko daresalamu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, Nahitaji scrap/skrepa/chuma chakavu,ninanua kwa anae weza kukusanya kuanzia tani moja na kuendelea tafadhari tuwasiliane soko ni uhakika na bei iko kama ifuatavyo copper 1kg=900Tsh blase...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari. Ninahitaji friji used ambalo lipo katika hali nzuri.dogo la size ya kati.ambalo lina sehemu ya kugandisha na kupooza. Au Kama una duka maeneo ya tabata kimanga nijulishe ntakuja. Ahsanteni
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini. Zinahitajika gari mbili za aina Toyota au Suzuki ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea ziwe na CC kuanzia 1000 - 2000. bei yake Isizidi Mil 7. kama kuna mtu atakuwa nayo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SITTA ELECTRONICS DAR ES SALAAM TZ 0766 10 27 10. - Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk -...
1 Reactions
3 Replies
915 Views
Nyumba mpya ya kisasa yenye pande mbili ambapo kila upande una vyumba viwili, kimoja self, sebule, jiko, public toilet. Pia kuhusu umeme na maji ni kwamba kila upande una mita yake. Mwenye...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari Wana JF. Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika. Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
0 Reactions
4 Replies
713 Views
habari wdau.. nauza laptop yangu ndogo asus eepc .. bado ipo kwenye ubora haina tatizo lolote nimetumia mwaka mmoja.. sababu ya kuuza nahitaji laptop yenye screen kubwa na processor kubwa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom