Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au...
Habari wamama na wadada,
Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi.
Zipo 4 kwenye packet...
Habari Wajumbe,
Naomba msaada wa mtu anaejua wanapotengeneza hii mashine au anaeweza kutengeneza hii mashine. Ni mashine ambayo upande mmoja ni Rice Mill na upande mwingine ni Pulverizer (kusagia...
Habari za wakati huu wapendwa, poleni na mizunguko.
Maeneo yanauzwa huko Lupembe _Njombe
Kuna ekari zaidi ya 100 kwa bei rahisi
Kwa alie interested ani pm
Asanteni
Laptop inaitwa min bytspeed zinaunza, zimebaki mbili tusifa zake hdd 80 gb ram 2gb processor 1.62ghz ni touch screen pia ni screen rotate (unageuza upande wowote naotaka wewe) inakaa na chaji kwa...
Offer wiki hii jipatie gaun ya uturuki jumla na rejareja jumla 40,000/= Reja 50,000/=
Tupigie 0743664080
Wsp 0769392185(ipo wsp tu)
Zipo size 40,46,50
Colour Yellow,Maroon,green,parachichi...
Nsemwa Company Limited, located at Tegeta DSM offers the following services at very competitive prices;
ENVIRONMENTAL PROJECTS:
Environmental Impact Assessment
Water Resource Modelling
Waste...
Habari Wadau
Katika KUPAMBANA NA HALI ZETU COPY CENTRE(stationeries services) iliopo Survey-kontena
nyuma Ya mlimani city,
tunatoa huduma ya photocopy kwa 25/ kwa page na printing kuanzia 50/-...
Nauza laptop aina ya HP kiasi cha 100,000/-tuu, iko vizuri tuu japo inatatizo ndogo tuu yani imezima na baadhi ya batani hazifanyi kazi, Ipo mbeya mjini maeneo ya Soweto, aliye tayari aniPM
Asanteni
Ni la mbao orignal ya mpodo siyo ya kichina nimelitumia miezi 4 tu lipo katika hali nzuri kama unahitaji nicheki kwa
No 0716917896
Nicheki whatsup or sms or piga ikinitafuta kupitia humu sipo...
Hello Gentleman and ladies,
Natafuta Gari ilitotajwa hapo juu .
Hata kama ni mbovu iko juu ya mawe ,naomba kama unajua mtu anayo dayosis ,shirika ,taaasisi ,NGOS ,NAOMBA TUWASILIANE PLEASE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.