Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kamata fulsa kwa kujipatia line ya halopesa kwa mawasiliano ni 0629160631
1 Reactions
3 Replies
958 Views
Natafuta simu Arusha offer yangu 200-250 napendelea zaidi tecno camon cx au galaxy note note4 Call me kwa 0743233710
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miti ina umri wa miaka 6 Lina ukubwa wa eka 110 Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wamama na wadada, Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari Wajumbe, Naomba msaada wa mtu anaejua wanapotengeneza hii mashine au anaeweza kutengeneza hii mashine. Ni mashine ambayo upande mmoja ni Rice Mill na upande mwingine ni Pulverizer (kusagia...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Habari za wakati huu wapendwa, poleni na mizunguko. Maeneo yanauzwa huko Lupembe _Njombe Kuna ekari zaidi ya 100 kwa bei rahisi Kwa alie interested ani pm Asanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptop inaitwa min bytspeed zinaunza, zimebaki mbili tusifa zake hdd 80 gb ram 2gb processor 1.62ghz ni touch screen pia ni screen rotate (unageuza upande wowote naotaka wewe) inakaa na chaji kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Offer wiki hii jipatie gaun ya uturuki jumla na rejareja jumla 40,000/= Reja 50,000/= Tupigie 0743664080 Wsp 0769392185(ipo wsp tu) Zipo size 40,46,50 Colour Yellow,Maroon,green,parachichi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Work piece: 3M Swing overbed: 800mm Year: 2013; Origin: China Chucks: 3-jaw and 4- jaw Price: 25M, nipe offer yako tuzungumze Contact: 0624688827
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nsemwa Company Limited, located at Tegeta DSM offers the following services at very competitive prices; ENVIRONMENTAL PROJECTS: Environmental Impact Assessment Water Resource Modelling Waste...
0 Reactions
3 Replies
821 Views
Habari Wadau Katika KUPAMBANA NA HALI ZETU COPY CENTRE(stationeries services) iliopo Survey-kontena nyuma Ya mlimani city, tunatoa huduma ya photocopy kwa 25/ kwa page na printing kuanzia 50/-...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Napatikana Dar es salaam kigamboni mwenye uhitaji wa line ya uwakala wa M pesa tuwasiliane 0763175222, 0625503796 bei rahisi Ahsante
0 Reactions
8 Replies
966 Views
Nauza laptop aina ya HP kiasi cha 100,000/-tuu, iko vizuri tuu japo inatatizo ndogo tuu yani imezima na baadhi ya batani hazifanyi kazi, Ipo mbeya mjini maeneo ya Soweto, aliye tayari aniPM Asanteni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni la mbao orignal ya mpodo siyo ya kichina nimelitumia miezi 4 tu lipo katika hali nzuri kama unahitaji nicheki kwa No 0716917896 Nicheki whatsup or sms or piga ikinitafuta kupitia humu sipo...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Hello Gentleman and ladies, Natafuta Gari ilitotajwa hapo juu . Hata kama ni mbovu iko juu ya mawe ,naomba kama unajua mtu anayo dayosis ,shirika ,taaasisi ,NGOS ,NAOMBA TUWASILIANE PLEASE.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haina tatizo lolote ni mpya kabsa kasoro box tuu [emoji338]0712659807
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Office for rent is urgently required Location: within Ilala District preferably along Uhuru road Dar es Salaam budget: from 150,000 Contact 0788705051
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Back
Top Bottom