Bado tunatafuta mashamba ya kulima pembeni ya mito?

Bado tunatafuta mashamba ya kulima pembeni ya mito?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,951
Reaction score
9,509
Mara nyingi sana mtu akitaka kulima hasa mboga atatafuta shamba pembeni ya mto wenye maji ili aweze kulima mboga au matunda au hata mazao mengine.

Kwa hali ya sasa huu utaratibu ni hatari sana na inaweza kula kwako ay nay time.

Ule ukame wa Mwaka huu kuna sehemu watu walikuwa wanategemea maji ya mto na walijuwa wamelima vitunguu sana na baada ya ukame Uongozi yaani Serikali walikata maji na kilicho tokea ni hasara isiyo elezeka.


Kama unamashamba yako na hayana maji basi jenga visima vya mabwawa kwa kuweka Nyloni na utavuna maji wakati wa masika na unaweza yatumia mwaka mzima.

51b90eb9255397be141f8b447b35b60c.jpg


67a209f6dfdf2d293e5a19021a247552.jpg


755849d98c7b35078fd8c9911a1c6004.jpg
 
kilimo cha kutegemea mvua kimepitwa na wakati mvua zinazidi kupungua
 
ni watu gani wanshusika na uchimbaji wa haya mabwawa,naomba mawasiliano nao nifanye nao kazi
 
ni watu gani wanshusika na uchimbaji wa haya mabwawa,naomba mawasiliano nao nifanye nao kazi
Mkuu hili unaweza chimba mwebyewe yaani kwa kutumia vibarua then ukanunua nyloni na kuweka chini. Nyloni ndo inauzwa
 
nakushukuru kwa hii taarifa,bila shaka nailon shurti uweke order kiwandani kulingana na ukubwa wa bwawa lako
zipo hizo mkuu kuna njia ya kuwziweka.

Nitumie namba yako pm nikutumie picha zaidi.

Hayo ma nyloni zipo na inaweza dumu hata zaidi ya 20 years.
 
Ili uvune maji ya kutosha bwawa la vipimo gani ni zuri na gharama zipoje!?
 
Back
Top Bottom