Nyumba inauzwa Ipo mwanza Wilaya ya Ilemela Maeneo ya Igoma
Ina vyumba vikubwa Vitatu vya kulala
Dining Room
Living Room
Jiko na choo vya ndani pamoja na store
Bei Mil 35
kwa mawasiliano...
Habari ndugu msomaji wa tovuti yako pendwa, Leo kuna habari nzuri ambayo nahitaji kukushirikisha leo hapa hapa.
Habari yenyewe inaihusu Application ambayo sasa hivi umerahisishiwa zaidi na unaweza...
Nyumba ipo mbezi juu mnara wa voda, masana hospital kwa juu kidogo
Ni Apartment zipo 3 kwenye fanc, vyumba 3 kimoja self
Bei 450,000/ = maji umeme vyote vipo vya kujitegemea
Mawasiliano zaidi...
Kwa Tz publishers wanaotaka kupata traffic kupitia fb nauza facebook page yenye 52k likes.
Bei maelewano.
Pia mwenye page above 800k likes na anauza tuwasiliane
Aliye tayari ani inbox
M.Byabato
Habari za jioni ndugu
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa kuna kiwanja kizuri kabisa kinauzwa kwa ajili yako
Kiwanja kipo Goba, eneo ni zuri kwa wewe utakayependa kujenga sehemu ya...
Wasalaam wakuu,
Nipo Dar es salaam, nahitaji kuku kwa wingi hasa majogoo ya kienyeji (siyo chotara).
Kwa mwenye nayo aniPM hata kama ni Mkoani tutaangalia namna ya kusafirisha.
Habari za asubuhi
Natafuta Suzuki Carry yenye hari nzuri ya kukodi kwa mwezi,mafuta kwangu na service kwa ajili ya kusambazia bidhaa zangu budget yanu ni 200,000/- kwa mwezi
Asanteni
Habari za Jioni WanaJF,
Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.