Friji used zinapatikana wapi maeneo ya TABATA kimanga.

Friji used zinapatikana wapi maeneo ya TABATA kimanga.

madam boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
701
Reaction score
744
Habari. Ninahitaji friji used ambalo lipo katika hali nzuri.dogo la size ya kati.ambalo lina sehemu ya kugandisha na kupooza. Au Kama una duka maeneo ya tabata kimanga nijulishe ntakuja. Ahsanteni
 
huku kimanga labda uende mitaa ya kwa swai kwa fundi friji unaweza kupata mkweche wa kukusogeza
 
Hayo mambo ya used yashapigwa marufuku na DAB, hayatoi kodi kwa serikali hivyo jiandae kulala Central kwa kukiuka amri ya Serikali.
 
Hayo mambo ya used yashapigwa marufuku na DAB, hayatoi kodi kwa serikali hivyo jiandae kulala Central kwa kukiuka amri ya Serikali.
Kwani ww unaponunua si unatakiwa udai risiti.
 
Nenda bale bima kwa fundi wa mafridge baba mchungaji yamejaa ya kumwaga
 
Kwani ww unaponunua si unatakiwa udai risiti.


DAB kasema vitu USED vina madhara kwa afya na mazingira. Hivyo ni marufuku kwenye mkoa wake.

Hiyo pesa utakayotoa kwa vijana wa Sirro ili utoke ni bora ungeongezea ununue fridge mpya.
 
DAB kasema vitu USED vina madhara kwa afya na mazingira. Hivyo ni marufuku kwenye mkoa wake.

Hiyo pesa utakayotoa kwa vijana wa Sirro ili utoke ni bora ungeongezea ununue fridge mpya.
 
DAB kasema vitu USED vina madhara kwa afya na mazingira. Hivyo ni marufuku kwenye mkoa wake.

Hiyo pesa utakayotoa kwa vijana wa Sirro ili utoke ni bora ungeongezea ununue fridge mpya.
90% ya magari ya Dar ni used, mbona hayajaondolewa? Na lile gulio alilotangaza kulifungua Kigamboni ni kwa magari mapya tu? Aende zake huko.
 
Back
Top Bottom