Leta 14 mill mkuu njoo chukua
mkuu poa ngoja nitafute tafute nikikosa nitarudi kwakoHata mimi nipo serious mkuu leta 14 nikuletee kesho tumalize kazi kwa wakili gharama za kuandika mkataba juu yangu chief
bazoka na asprin vyote hupitishwa mdomoni. looh. mna maneno. eti uzee ni uzoefu!Haina tatizo lolote... Nilisahau kuwa uzee si tatizo bali ni uzoefu.
kkuna n yingine naenda cheki arusha ikisindikana nitakutafutaHaina shida mkuu usiache hii gari kama unahitaji ya namna hii imetulia sana
Chukua hiyo 12. Sasa hivi magari ni mengi na pesa ni shida kupatikana so wateja haba.. Kuna kipindi nilikuwa nauza Kirikuu kwa M6.5 mteja akaja na m6.0 nikamkatalia.. Miezi miwili baadaye nilikuja kuiuza kwa M2.8 baada ya kunock injin na kuikarabati bila mafanikio.Poa mkuu pamoja sana tuwasiliane tu ukirudi utaiona location salasala
Mkuu, msikilizie jamaa akifika bei chukua hiyo gari alafu ipeleke kwa mchina akupigie rangi nyeusi.. Ikitoka hapo, gari itakuwa mpya... Hardy body ni gari nzuri.. Nimeendesha kwa miaka minne.. Zaidi ya tatizo la kufa kwa betri sijawahi pata shida yeyote na Hardybody... Kwanza kwenye matope haikwami ukiwa na tairi za kashata.. Ina 4wd pamoja na difflock.Mkuu niko serious nitafute kwa 12 hata kesho njoo
Mkuu tatizo ni bei yake mkuu ,ila kuna moja iko Arusha naenda huko jmosi nikishindwa na kama jamaa atakubali nitaichukua.Afu sasa ivi ziko watu wanazisukuma hivyo naangalia then namake decision based on fedha nilizo nazo mkuu.Hii biashara ya kununua then unakuwa wewe ni wa kwenda gereji siitaki bossMkuu, msikilizie jamaa akifika bei chukua hiyo gari alafu ipeleke kwa mchina akupigie rangi nyeusi.. Ikitoka hapo, gari itakuwa mpya... Hardy body ni gari nzuri.. Nimeendesha kwa miaka minne.. Zaidi ya tatizo la kufa kwa betri sijawahi pata shida yeyote na Hardybody... Kwanza kwenye matope haikwami ukiwa na tairi za kashata.. Ina 4wd pamoja na difflock.