D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,728
- 4,178
shamba la miti linauzwa mkoani iringa miti ina miaka minne na nusu bei ni milioni tatu kwa eka mbili
NB muuzaji sio mimi
NB muuzaji sio mimi
dabagaTupia hata ka picha mkuu. Halafu Iringa kubwa sana taja hata jina la kijiji.