Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu waheshimiwa, Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro ya graphics, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo...... Bei zang ni: * 10,000 kwa karatas normal...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuuu mwenye gari ya stauti aweke namba hapa ya sisi wakulima
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HP Compaq Intel Celeron RAM 4GB HDD 1TB Very good condition Price: 500k (Tshs) Contacts: 0718975078
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Ninahitaji mafundi wa kumwaga zege wawe na vifaa vyao kama milunda, mbao, nk.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wakuu. Mayai safi ya kisasa makubwa na yenye kiini cha njano yanapatikana Gezaulole Kigamboni. Bei ni shilingi 7000 kwa tray lakini ukichukua kuanzia tray 50 utapata kwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi nina nyumba ninaipangisha ipo Gongo lamboto kituo kipya ina vyumba 14 vyote no master kisima cha maji kipo na nyumba ipo karibu kabisa na barabara inafaa kwa matumizi kama nyumba...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau mimi ni mjasiriamali ambaye ndo ninaanza anza shughuli za biashara anuai.Katika pekua pekua yangu nimegundua fursa mbalimbali ambazo bado hazitumiki ipasavyo na zinatumiwa zaidi na wageni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, nauhitaji wa haraka wa motherboard ya laptop Model: HP Pavilion 13.3" 13-a010dx Intel i3-4030U 1.9GHz Motherboard Kwa yeyote aliyenayo anicheck kwa mawasiliaono haya: +255685034245
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Pata mahindi bora ndani ya wilaya ya Mbeya mjini, Ilolo sokoni (Isanga). Gunia tsh. 48,000/= Debe tsh. 8,000/= Mawasiliano; +255 763 253 522
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina asali mbichi toka Tabora ya nyuki wadogo na wakubwa natafuta soko popote ulipo hasa Dar es salaam anayehitaji anifate inbox au no 0783552816 nipo Urambo Tabora
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kama upo arusha na unauza azam dish(package nzima)nijuze hapa tufanye biashara,,,iwe used au new brand,,,bei isizidi 150000/=
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Gari aina ya verossa inauzwa namba C iko poa full vibali
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja kikubwa kina msingi wa nyumba wenye vyumba 5 vya kulala dining room jiko vyo viwili vya ndani parking kubwa Kiko Karibu na shule ya msingi KIDUGALO. Piga 0768412181/0655412181
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa *Ukubwa 30×30 *Mahali: Kahama,Ilemela *Sifa zingine: Kimepimwa,kina nyumba ndogo ya slope *Bei Milioni 6 na nusu (Tsh. M6.5) Kwa maelewano/Maelezo zaidi njoo PM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
SPECIFICATION HP - af131dx P1A95UA Inch - 15.6 Processor - AMD Quad Core A6 5200 APU 2.0GHz RAM 4GB DDR3 Hard disk -500 GB Operating System- Window 10 Home (64bit) Colour _ BLACK USED 1 MONTH...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Awe msichana age 18-25, amepitia course ya computer au amewahi Fanya kazi za stationery awe msafi,mwaminifu,mchapakazi awe na mapokeo mazuri kwa wateja awe mkazi wa DSM .mshahara maelewano!!
0 Reactions
4 Replies
809 Views
Habari wakuu, I just need your help, nilikua natafuta nyumba ya kupanga. Location: Kuanzia kimara kona hadi korogwe upande wa kulia ukiwa unatokea posta. Budget: TSh 200,000 to 250,000...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Hii, nauza garlic paste, kitunguu swaumu kilichosindikwa jumla na rejareja Jumla 4250 kuanzia PC 10, na rejareja 6000 Napatikana dar, Ubungo, mikoani natuma 0714547830 Kwa wale Wa Posta...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Escudo 4cylinder, owned by Indian Lady 25,000,000 almost new Nissan immaculate condition 12,000,000 Scania zooote ziko safi mnoooo @ 55,000,000/= Karibu pm kwa kuona cha kufanya Zote zina jina...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Back
Top Bottom