Habari zenu waheshimiwa,
Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro ya graphics, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo......
Bei zang ni:
* 10,000 kwa karatas normal...
Habari ya muda huu wakuu. Mayai safi ya kisasa makubwa na yenye kiini cha njano yanapatikana Gezaulole Kigamboni. Bei ni shilingi 7000 kwa tray lakini ukichukua kuanzia tray 50 utapata kwa...
Habari wanajamvi nina nyumba ninaipangisha ipo Gongo lamboto kituo kipya ina vyumba 14 vyote no master kisima cha maji kipo na nyumba ipo karibu kabisa na barabara inafaa kwa matumizi kama nyumba...
Wadau mimi ni mjasiriamali ambaye ndo ninaanza anza shughuli za biashara anuai.Katika pekua pekua yangu nimegundua fursa mbalimbali ambazo bado hazitumiki ipasavyo na zinatumiwa zaidi na wageni...
Habari wadau, nauhitaji wa haraka wa motherboard ya laptop
Model: HP Pavilion 13.3" 13-a010dx Intel i3-4030U 1.9GHz Motherboard
Kwa yeyote aliyenayo anicheck kwa mawasiliaono haya: +255685034245
Nina asali mbichi toka Tabora ya nyuki wadogo na wakubwa natafuta soko popote ulipo hasa Dar es salaam anayehitaji anifate inbox au no 0783552816 nipo Urambo Tabora
Kiwanja kikubwa kina msingi wa nyumba wenye vyumba 5 vya kulala dining room jiko vyo viwili vya ndani parking kubwa
Kiko Karibu na shule ya msingi KIDUGALO.
Piga 0768412181/0655412181
Kiwanja kinauzwa
*Ukubwa 30×30
*Mahali: Kahama,Ilemela
*Sifa zingine: Kimepimwa,kina nyumba ndogo ya slope
*Bei Milioni 6 na nusu (Tsh. M6.5)
Kwa maelewano/Maelezo zaidi njoo PM
Awe msichana age 18-25, amepitia course ya computer au amewahi Fanya kazi za stationery awe msafi,mwaminifu,mchapakazi awe na mapokeo mazuri kwa wateja awe mkazi wa DSM .mshahara maelewano!!
Habari wakuu,
I just need your help, nilikua natafuta nyumba ya kupanga.
Location: Kuanzia kimara kona hadi korogwe upande wa kulia ukiwa unatokea posta.
Budget: TSh 200,000 to 250,000...
Hii, nauza garlic paste, kitunguu swaumu kilichosindikwa
jumla na rejareja
Jumla 4250 kuanzia PC 10, na rejareja 6000
Napatikana dar, Ubungo, mikoani natuma
0714547830
Kwa wale Wa Posta...
Escudo 4cylinder, owned by Indian Lady 25,000,000 almost new
Nissan immaculate condition 12,000,000
Scania zooote ziko safi mnoooo @ 55,000,000/=
Karibu pm kwa kuona cha kufanya
Zote zina jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.