Professional Trader
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 1,220
- 1,113
Habarini wanajamvi..
Naombeni muhusike na kichwa cha habari hapo juu Ndugu Zangu
Nauza jengo la nyumba ya kisasa lenye vyumba vinne(4) liliopo maeneo ya mbezi, Goba ,kulangwa Dar es salam Tanzania
Jengo lina vyumba vinnez
-Master room moja
-Public toilet
-Jiko
-Store
-Sitting room
-Dining room ya kisasa
Eneo lake kwa ujumla
Upana squire metre 14 ×26
Eneo Lilipo gari linafika mbaka mlangoni kuna barabara za mitaa na Hali ya hewa na mazingira mubashara.
Bei yake ni Tsh 40,000,000/= maongezi yapo nipo tayari kuuziana sehemu yeyote ambayo panausarama wa kisheria
Karibuni muione wakuu kwa mawasiliano piga simu no.
0659254488
0688624299
Asanteni
Naombeni muhusike na kichwa cha habari hapo juu Ndugu Zangu
Nauza jengo la nyumba ya kisasa lenye vyumba vinne(4) liliopo maeneo ya mbezi, Goba ,kulangwa Dar es salam Tanzania
Jengo lina vyumba vinnez
-Master room moja
-Public toilet
-Jiko
-Store
-Sitting room
-Dining room ya kisasa
Eneo lake kwa ujumla
Upana squire metre 14 ×26
Eneo Lilipo gari linafika mbaka mlangoni kuna barabara za mitaa na Hali ya hewa na mazingira mubashara.
Bei yake ni Tsh 40,000,000/= maongezi yapo nipo tayari kuuziana sehemu yeyote ambayo panausarama wa kisheria
Karibuni muione wakuu kwa mawasiliano piga simu no.
0659254488
0688624299
Asanteni