Viwanja nafuu mbeya

Viwanja nafuu mbeya

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Ndugu zangu naomba kujua sehemu gani Mbeya naweza pata kiwanja kwa Mil.1 au 2
 
Mmmmh, hata kule ituwa sijui kama utapata kiwanja cha bei hiyo,
mbeya ina thamani sana miaka hii.
 
Mmmmh, hata kule ituwa sijui kama utapata kiwanja cha bei hiyo,
mbeya ina thamani sana miaka hii.

Viwanja kila sehemu siku hizi ni bei.
Hiyo milioni moja ndo kwaanzaaa inaishia kwa madalali. Mwambie atafute hela ya kiwanja sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom