Nyumba ipo Ubungo Riverside umbali wa dk 3 kutoka barabara ya Mandela. Ina vyumba 2 , sebule, Veranda na choo cha ndani. Ina uzio Umeme na maji utashare na watu 2. Inahitajika kodi ya miezi 2...
Nauza Camera Sony DSC W 800,ipo kwenye hali nzuri ,imetumika Mara mbili tu toka inunuliwe October 2017,INA vifaa vyake vyote,INA warrant mpaka November 2018 bei ni laki 2 tu
Kama k cha habari kijielezavyo.... saloon ipo k mkwajuni karibu na jituo cha mkwajuni ipo kwenye barabara kubwa ya kuingia hananasif
Bei: 4m maongezi yapo inapungua karibuni
Au nicheki hapa...
Ni kitabu kilichoandikwa na mwanachuon Abu muhammad al maqdis kuhusu demokrasia na uislamu
Na kimefanyiwa tarjama na ashfat peter na sameer mugisha kwa kiswahili
Kitabu kimeeleza juu ya uislamu...
Ni kitabu kilichoandikwa na mwanachuon toka Lebanon ..Abu muhammad al maqdis na kufanyiwa tarjama hapa Tanzania na wanafunz Ashfat peter na sameer mugisha
Kitabu kimeeleza msimamo wa uislamu juu...
Habari zenu?
Viwanja viwili vinauzwa kwa pamoja ni futi 40 X80 kwa kila kimoja, vyote vipo pamoja(vimeungana)umeme na maji yapo kwenye kiwanja, barabara inafikika mwaka mzima.
Viwanja vipo...
Hyy wana JF..
Nipo mkoani Mtwara now some college.. So nahitaji line za chuo za Airtel, So naweza kupata maeneo gani hapa mjini..?
Wenyeji wa Mtwara msaada tafadhari
Nawasilisha
By Shombeshombe...
Kiwanja kinauzwa Morogoro mjini- Nanenane, kina offer sqm 690, maji, umeme vipo, kiko katikati ya makazi, kilometer 1 toka barabara kuu ya dar -moro, bei 15millioni, pia kuna tofali za mchanga...
Laptop aina ya HP ProBook 4540s inauzwa Arusha. Laptop hii ina sifa zifuatazo:
Specifications
Processor: Intel core i3 @ 2.4Ghz
RAM: 4 GB
Hard Disk: 500 GB
Operating System: Windows 10
Laptop...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.