Habari?
Acha kutumia perfumes fake na ujipatie perfumes za viwango kwa bei chee baada ya duka zilizokua zinauzwa kufungwa.
Unaweza ukazihakikisha kama original kwa kutumia simu yako,utadownload...
Habari bangudu na jamaa.Nataka kuanza biashara ya kuuza juice inayotokana miwa hivyo nahitaji mashine.Lakini pia naomba na ushauri wa kitaalamu na uzoefu wa biashara katika nyanja za
1)Aina ya...
Habari wakuu nauza simu tajwa,hiz ni baadh tu ya sifa zake
Haina tatizo lolote,ni L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support...
Wakuu Wasalaam,
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 20 mwezi huu naanza tena kusuply kuku wa kienyeji kutokea dodoma kwa mikoa ya Morogoro na Dar es salaam
Uwezo wangu wa kusuply kwa wiki itakuwa ni...
Wakuu!
Kama kuna mtu ana Transportation Company tunaweza kufanya biashara.
Kuna mzigo unatakiwa kupelekwa Lusaka, ni Furnitures&Building Materials.
40 feet Container
26 Tonnes each
Container 20...
Nawasalimu wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu, natarajia kufunga ndoa mwezi November mwaka huu naomba msaada wa kujua maduka ninayoweza kupata suti, shela na viatu kwa bei ya chini bajeti...
Wakuu nauliza nani anajua wapi naweza kupata hii machine ya kutengeneza matofali aina ya Hydra Form. Na ni bei gani?.
Wasaalam.
NB mwenye kujua wapi naweza kupata tukutane In box uniachie ujumbe...
Habari zenu waheshimiwa,
Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo......
Bei zang ni:
* 10,000 kwa karatas normal size
* 15000...
Habari wana JF, mi ni mjasiriamali chipukizi............... Najishughulisha na kukusanya zao la Ukwaju. Mwenye uhitaji naomba anitizame inbox tuzungumze
Hello wakuu, salam kwenu,
Naomba nije kwenye mada moja kwa moja ,
Mimi nanunua bidhaa hizi Nairobi, na nyingine PIA napata hapa hapa Arusha Tanzani ambako ndiko ninakouzia bidhaa zangu hizi...
Natumahi ujumbe huu utawakuta mkiwa salama salimi,
Nina habari njema kwa viongozi au wanachama wa vyama vya ushirika saccoss, kuwa sasa taasisi ya jikuze Business Solution imepewa kibari cha...
Salaam zenu wana jf,Mimi ni mfanyabiashara mdogo namiliki lodge ila nilikuwa nahitaji mkopo wa kumalizia lodge yangu nyingine.
Naomba mwenye uelewa wa bank nzuri inayotoa mikopo kwa riba nafuu...
V Lake and sea fishmonger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI wabichi kutoka BUKOBA (ZIWA VICTORIA) bei zetu ni
1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.