Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo katika hali nzuri na ina mzunguko mzuri Haijawai kutumika Tz tokea iingizwe tokea ng’ambo. Bei 12 mil. Kuiona piga simu 0784225000
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari? Acha kutumia perfumes fake na ujipatie perfumes za viwango kwa bei chee baada ya duka zilizokua zinauzwa kufungwa. Unaweza ukazihakikisha kama original kwa kutumia simu yako,utadownload...
4 Reactions
116 Replies
19K Views
Habari bangudu na jamaa.Nataka kuanza biashara ya kuuza juice inayotokana miwa hivyo nahitaji mashine.Lakini pia naomba na ushauri wa kitaalamu na uzoefu wa biashara katika nyanja za 1)Aina ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu nauza simu tajwa,hiz ni baadh tu ya sifa zake Haina tatizo lolote,ni L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu Wasalaam, Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 20 mwezi huu naanza tena kusuply kuku wa kienyeji kutokea dodoma kwa mikoa ya Morogoro na Dar es salaam Uwezo wangu wa kusuply kwa wiki itakuwa ni...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Natafuta king'amuzi aina yoyote kwa anaeuza maeneo ya Mwanza anichek 0711530251
1 Reactions
1 Replies
904 Views
Wakuu! Kama kuna mtu ana Transportation Company tunaweza kufanya biashara. Kuna mzigo unatakiwa kupelekwa Lusaka, ni Furnitures&Building Materials. 40 feet Container 26 Tonnes each Container 20...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau kama kuna MTU anauza simu tajwa hapo juu tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Nawasalimu wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu, natarajia kufunga ndoa mwezi November mwaka huu naomba msaada wa kujua maduka ninayoweza kupata suti, shela na viatu kwa bei ya chini bajeti...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Nipo Arusha mjini nahitaji mabati yaliyo tumika idadi yeyote kwa ofa ya kuanzia 5000.kwa mawasiliano 0759547047.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba contact za hao jamaa wanaojihusisha na teknolojia ya 3D printers, sikumbuki wanaitwaje. Kwa anayejua tafadhali anisaidie
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Wakuu nauliza nani anajua wapi naweza kupata hii machine ya kutengeneza matofali aina ya Hydra Form. Na ni bei gani?. Wasaalam. NB mwenye kujua wapi naweza kupata tukutane In box uniachie ujumbe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu waheshimiwa, Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo...... Bei zang ni: * 10,000 kwa karatas normal size * 15000...
10 Reactions
26 Replies
5K Views
Natafuta fundi wa photocopy mashine aliyepo moshi Mashine yangu inatatizo Msaada pia Kwa anae mjua fundi around moshi Kilimanjaro
0 Reactions
3 Replies
883 Views
Habari wana JF, mi ni mjasiriamali chipukizi............... Najishughulisha na kukusanya zao la Ukwaju. Mwenye uhitaji naomba anitizame inbox tuzungumze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello wakuu, salam kwenu, Naomba nije kwenye mada moja kwa moja , Mimi nanunua bidhaa hizi Nairobi, na nyingine PIA napata hapa hapa Arusha Tanzani ambako ndiko ninakouzia bidhaa zangu hizi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Natumahi ujumbe huu utawakuta mkiwa salama salimi, Nina habari njema kwa viongozi au wanachama wa vyama vya ushirika saccoss, kuwa sasa taasisi ya jikuze Business Solution imepewa kibari cha...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Salaam zenu wana jf,Mimi ni mfanyabiashara mdogo namiliki lodge ila nilikuwa nahitaji mkopo wa kumalizia lodge yangu nyingine. Naomba mwenye uelewa wa bank nzuri inayotoa mikopo kwa riba nafuu...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
V Lake and sea fishmonger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI wabichi kutoka BUKOBA (ZIWA VICTORIA) bei zetu ni 1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara Tsh...
0 Reactions
45 Replies
16K Views
Back
Top Bottom