Napokea oda ya kuku kuanzia wawili (2) na kuendelea waliokwisha kuandaliwa tayari bei inaanzia 15000-20000 Dar unaletewa ulipo na wengi kuanzia100 hawa Ukishaagiza unapata baada ya siku 2 bei ni...
Bei million 14.
Lipo kwenye Hali nzuri kabisa limetumika kwa mwaka mmoja tuu.
Ni LA mwaka 2003
Lina seat cover za leather.
Halidaiwi ushuru.
Sababu ya kuuzwa ni kwamba muhusika amepangiwa...
Nipo Dar es salaam
Nataka moja kati ya hizo simu
Ukiniuzia simu ya uwizi au yenye tatizo la kiufundi , nakwambia nakufunga
Ofa Laki 2 TZS
Call 0718295182, 0753254562
BANGOJEUPE
Zipo tani tatu za tangawizi natafuta soko kubwa ambapo zinaweza kutoka zote haswa viwandani au masoko makubwa wanaochukua nyingi nyingi.
Mzigo umeshatoka shambani tayari umeingia mjini.
Karibu sana
Kiwanja kinauzwa pamoja na nyumba kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba GEITA njini kwa bei nafuu. pia kama utaitaji viwanja ama nyumba katika mikoa ifuatayo nijulishe
BUKOBA
MWANZA
MUSOMA
MARA...
Hey,mambo vp wana jamii forum?
Natumai mu wazima kabisa, ombi langu kwenu kwa anaefahamu bei ya tangawizi sokoni kwa kilo naomba anipe price tafadhari na kama kuna anayefahamu soko la tangawiz kwa...
Asee nina mil 1 ninahitaji piki piki used(isizidi mwaka mmoja toka inunuliwe na iwe haijaguswa injini)ya kutembelea mwenye nayo anipe namba tuwasiliane!
PATA SERIES NZURI KWA BEI SAWA NA BUREE..................SEASON KAMA INHUMAN,THE GIFTED,DESIGNATED SURVIVOR 1&2, na nyingine nyingii nichek kwa 0658714777, or airtel 0692442335
Habari wakuu.
Naomba kujuzwa sites nzuri kwa ajili ya kununua viatu mtandaoni na pia kujua namba za viatu za nchi yetu ukilinganisha na namba za mataifa mengine....
Inaonekana mataifa tofauti...
Ng'ombe wa maziwa wanaotoa lita 17 hadi 20 aina ya Ayrshire na Freysian. Wenye mimba kati ya miezi 4 hadi 8. Bei 2.2 mil. Ng'ombe wanapatikana karibu na Mawasiliano(Sam Nujoma) Dar es salaam...
Habari wa jamii, nataka kununua kiwanja na ndio mara yangu ya kwanza na nilikuwa naomba kwa wenye uzoefu wa biashara izo wanishaur ni njia zipi naweza kupitia ili nisije jikuta tumeuziwa wawili na...
SAMSUNG SMART TV
FULL HD
LED
USB PORT
HDMI
BIULDER CHANNELS
40"
1,600,000/=
0717-062242
DELIVERY IN DAR NA MIKOANI TUNATUMA PIA
TUPO K.KOO CHINA PLAZA
@nafuuelectronicssupplier.com
habarini wakuu..naamini tu wazima wa afya na tunaendelea kupambana kujikwamua kiuchumi
mimi ni mfugaji kwa muda sasa na pia ni mwanafunzi wa chuo cha sayansi ya afya na tiba- bugando
Ninauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.